Kubenea kumvaa Dr. Slaa

Kubenea kumvaa Dr. Slaa

Kubenea naye anaweza ita watu na wakaenda kweli?Yule ni chizi, watu wa Ubungo mtajiaibisha.
 
Kama aliweza kuacha upadre akaoa kitu ambacho ni dhambi atashindikanake kununuliwa! Keshafika bei dr.aende zake na hatumfuati maana tumeshaamua mabadiliko.
 
Kwanza nikusihi jambo moja: Heshimu watu ata kama huwapendi. Kumpenda au kumchukia mtu hakuwezi kumwondolea taaluma aliyonayo. Unaposema 'anayejiita Padri' una maana kuwa siyo padri, jambo ambalo siyo kweli. Dr. Slaa ni Padri kwa usomea fani hiyo na kutumikia kanisa kwa kazi ya upadri. Huwezi kufuta ukweli huo na taaluma ya upadri imo kichwani mwake hata kama ungemnyang'anya cheti chake. Kuna madaktari 63%ya waliohitimu fani ya udaktari, lakini bado wanatambulika kama madaktari.
Pili umesema 'mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu' Siyo kweli, hakuwahi hata kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake wala chama chake hakijawahi kupitisha jina lake na kulipeleka Tume ya uchaguzi (NEC). Wewe kama mwandishi wa habari (sina hakika kama ni kweli) hupaswi kuegemea upande, hupaswi kutumia fani yako kupambana na wanajamii ukitumia uandishi wako wa habari. Once biased huwezi kuandika habari kitaaluma.

Upadre ni wito siyo fani,umbea usipitilize ndugu.
 
Azungumzie na tuhuma za kumwagiwa tindikali ofisini, lakini mambo ya Slaa na mkewe ni upuuzi kweli kweli. Akishamaliza apotee kwani hakuna suala hata moja linalomgusa. Tunataka Lowassa na wafuasi wake kina Mbowe na Lissu wazungumze. Kubenea ni mnafiki wa kutupa

haya dogo mtoka mapovu na hewa chafu... ila kikubwa tunataka ccm itoke madarakani
 
Kubenea alikuwa anasoma mchezo wa slaa sasa mambo yatakuwa mambo Dr slaana aanikwe tu hamna namna
 
NIMEMSIKILIZA kwa makini, Dk. Willibroad Slaa, aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema na mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akihojiwa na kituo cha televisheni cha Star TV, Dk. Slaa alimtuhumu Edward Lowassa kuwa ni fisadi na akataka wananchi kumchagua “mgombea mwenye nafuu ya ufisadi.” Akamtaja John Pombe Magufuli.

Ameeleza pia kuwa taarifa mpya aliyonayo na ambayo aliitumia katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumanne iliyopita, kuhusu sakata la Richmond, aliipata kutoka kwa Dk. Harrison Mwakyembe, aliyekuwa mwenyekiti wa kamati Teule ya Bunge, juu ya Richmond.

Niliamua kutojibizana na Dk. Slaa – rafiki yangu wa miaka mingi – katika mradi wake huu. Lakini kwa hapa alipofika, uvumivu umenishinda. Sitaruhusu mtu mzima, anayejiita padri na ambaye alitaka kuwa rais wetu, kuendelea kulindanganya taifa na kuwapotosha wananchi.

Hivyo basi, nimeamua kuanzia leo hii, kukabiliana na Dk. Slaa kwa kila kona ili ukweli ufahamike. Kwa kuanzia, leo hii – Jumamosi, naelekea mkoani Mbeya ambako nitahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kyera, linaloshikiliwa na Mwakyembe, swahiba mpya wa Dk. Slaa.

Nikiwa Mbeya nitaeleza ukweli wa kilichotokea na kile ambacho Dk. Slaa anakificha.

Aidha, nikirejea Dar es Salaam, nimepanga kuitisha mkutano na waandishi wa habari, kueleza ukweli uliokamilika kuhusu Dk. Slaa na mkewe Josephine Mushumbuzi na sababu

Tuna imani na kubenea,tuwekee wazi ili tumuwadhibu vizuri slaa na mwakyembe
 
NIMEMSIKILIZA kwa makini, Dk. Willibroad Slaa, aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema na mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akihojiwa na kituo cha televisheni cha Star TV, Dk. Slaa alimtuhumu Edward Lowassa kuwa ni fisadi na akataka wananchi kumchagua “mgombea mwenye nafuu ya ufisadi.” Akamtaja John Pombe Magufuli.

Ameeleza pia kuwa taarifa mpya aliyonayo na ambayo aliitumia katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumanne iliyopita, kuhusu sakata la Richmond, aliipata kutoka kwa Dk. Harrison Mwakyembe, aliyekuwa mwenyekiti wa kamati Teule ya Bunge, juu ya Richmond.

Niliamua kutojibizana na Dk. Slaa – rafiki yangu wa miaka mingi – katika mradi wake huu. Lakini kwa hapa alipofika, uvumivu umenishinda. Sitaruhusu mtu mzima, anayejiita padri na ambaye alitaka kuwa rais wetu, kuendelea kulindanganya taifa na kuwapotosha wananchi.

Hivyo basi, nimeamua kuanzia leo hii, kukabiliana na Dk. Slaa kwa kila kona ili ukweli ufahamike. Kwa kuanzia, leo hii – Jumamosi, naelekea mkoani Mbeya ambako nitahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kyera, linaloshikiliwa na Mwakyembe, swahiba mpya wa Dk. Slaa.

Nikiwa Mbeya nitaeleza ukweli wa kilichotokea na kile ambacho Dk. Slaa anakificha.

Aidha, nikirejea Dar es Salaam, nimepanga kuitisha mkutano na waandishi wa habari, kueleza ukweli uliokamilika kuhusu Dk. Slaa na mkewe Josephine Mushumbuzi na sababu

Dr Slaa sio size yako mkuu!!
 
Kubenea mchumia tumbo, ameona bora awe mpiga dili tu sasa
 
Wakati mwingine kama naota, hivi slaa ni wa kufanya mambo ya @zzk hivi?
 
Last edited by a moderator:
Huwezi kuwa padri bila kusomea miaka 6. Unaweza kuitwa kama hukufaulu huwezi kuwa padri. Makanisa ya wokovu ndiyo watu walikuwa wanajiingiza tu kwa kisingizio cha wito siyo Upadri
Upadre ni wito siyo fani,umbea usipitilize ndugu.
 
Tanzania ya sasa haitaki watu, vigeugeu na wasio na misimamo kama kubenea wanasiasa njaa.
 
Huwezi kuwa padri bila kusomea miaka 6. Unaweza kuitwa kama hukufaulu huwezi kuwa padri. Makanisa ya wokovu ndiyo watu walikuwa wanajiingiza tu kwa kisingizio cha wito siyo Upadri

bantulile upadiri ni wito sio fani
 
Wao dis time after election so excited to see what a real Tanzania will be
 
kubenea hawa madokta na maprofesa wa Tanzania ni wakuwapuuza kabisa. cha kushukuru ni kwamba watanzania wa leo wanajua kilicho nyuma yao.
 
Back
Top Bottom