Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
As received
Kubenea aomba mdahalo na Slaa awe na Mwakyembe na Sitta.. yeye peke yake... Leo yupo Kyela akirudi kesho anawataka... Waende na ushahidi wao wote yeye anaenda na ushahidi wa uhakika kabisa.
Anasema alitaka kukaa kimya lkn Slaa kafanya kosa jana kumtaja ili kumuonyesha hajui kitu anataka kumuaibisha... Pia anao ushahidi kalipwa sh ngp na ficm yy na demu wake Mushumbusi..
Wakikataa mdahalo anaita press conference
Ndio dawa ya watu wazembe wazembe kama slaa,wacha aumbuliwe