Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Ni zaidi ya wanaubungo, watanzania wote wanalia na huyo bashite kasoro poor minded people kama wewe
Mwehu nawapenda wakenya mbunge wa jimbo lingine akiingilia kuongelea jimbo la mbunge mwingine anamfuata na kumtandika mingumi bungeni kwamba kwa nini unaniingila jimbo langu kwa nini usiongelee lako? Zungu alitakiwa amfuate kubenea ampe Kipigo studio ya clouds iko ilala huyo kubenea yanamhusu nini maruhuni mkubwa kwake jimbo lina matatizo lukuki kwa nini arukie majimbo ya wengine? Zungu wake up nenda kajifunze ngumi na judo
 
Ila ukweli bashite kiburi chote kimeisha. Sasa hivi unaambiwa hata ofisini kwake pale Ilala akiona mtu anacheka anakunja USO akidhani anachekwa yeye. Na zile lugha za majidai hazipo tena
hahahhaha aliwaita wenye vyeti mizigo kumbe yeye ndo mzigo
 
Kubenea ni moja ya Wabunge ambao hawatarudi Bungeni 2020 hana anachofanya Ubungo

Mkuu mbona naona kama ni mapema mno kuanza kumhukumu kiasi hicho? Unatumia vigezo gani ktk kumfanyia performance appraisal? Kubenea ni Mtu anaejielewa vizuri, ni mchapa kazi hodari, ni JEMBE udumu S. Kubenea mbunge wa Taifa letu TZ ! Keep on going my Brother! We believe in You!
 
CCM wamemuweka Bashite Kama Sacrifical lamb kuwapotezea Muda Wanasiasa , Mijadala Mingi ya Msingi imekosa mvuto kwa kuwa wote wapo na Bashite!

Bunge la Bajeti linaendelea badala ya kuibana Serikal kuhusu utekelezaji wa Bajeti iliyopita wao wamekazania ya Bashite!

Wanasiasa wetu wa Upinzani huwa wanacheza ngoma zinazopigwa na CCM kwa Ujinga wao bila ya kujijua

CCM wamem-sacrifice Bashite? What a genius! Inaweza kuwa kweli kwamba CCM kuna watu wenye akili kubwa kihivyo? Sikutarajia hili. Lakini basi, wapinzani wakiachana na Bashite itazidi kuthibitisha kuwa wamekuwa watu wa kudandia matukio tu bila muendelezo wa wanachopigania. Wamempigia kelele Bashite ili kuondoa unafiki katika jinai ya kughushi vyeti; mwenye nyumba kawapuuza - wamekata tamaa.

Waibane serikali ya Tanzania? That's almost mission impossible. Kama wamepuuzwa na kukatishwa tamaa katika suala la double standard iliyo wazi kabisa ya kosa la jinai la Bashite itakuwa kwa yale yenye kuhitaji uelewa mkubwa kama bajeti? Wakijidai kukosoa matumizi yasiyozingatia bajeti wanakuwa hawaoni mazuri yanayofanywa na rais. Whatever the case, they end up losers.

Ukweli ni kuwa hadi leo hii siasa za upinzani na wanasiasa wa upinzani hawana chao Tanzania. Wananchi wengi wanawaona kama kundi la watu wanaohangaikia "maslahi yao binafsi" yasiyohusiana kabisa na maslahi ya nchi na ya wananchi wote. Kama vile ni kundi la watu wanaopigania haki "zao binafsi" tofauti na za wananchi wote. Hivyo watafute shughuli nyingine ya kufanya hadi siku wananchi watakapowahitaji kwa dhati. Au sio?
 
Mkuu mbona naona kama ni mapema mno kuanza kumhukumu kiasi hicho? Unatumia vigezo gani ktk kumfanyia performance appraisal? Kubenea ni Mtu anaejielewa vizuri, ni mchapa kazi hodari, ni JEMBE udumu S. Kubenea mbunge wa Taifa letu TZ ! Keep on going my Brother! We believe in You!
Jembe la wapi kuongelea mambo ya ilala wakati kwake ubungo kuko how?
 
Mkuu mbona naona kama ni mapema mno kuanza kumhukumu kiasi hicho? Unatumia vigezo gani ktk kumfanyia performance appraisal? Kubenea ni Mtu anaejielewa vizuri, ni mchapa kazi hodari, ni JEMBE udumu S. Kubenea mbunge wa Taifa letu TZ ! Keep on going my Brother! We believe in You!
Kilichomkimbiza John Mnyika Jimbo la Ubungo nakiona kwa Mbunge Kubenea uwezekano wa 2020 kurudi Bungeni ni mdogo sana!!
 
CCM wanacha maana wanachojua bungeni zaidi ya ndioooo. Hiyo bajeti unayozungumzia hata 30% ya fedha zinazopitishwa hazitolewi. Unajua bajeti hii tunayomaliza nayo imetekelezwa kwa asilimia ngapi?

Tatizo lako hujanielewa sio kuwa unapinga nilicho comment !

Kumbuka Mbinu za Kisiasa zinabadilika!

2008 Mlisogezewa la Richmond mkaachana na Jk mkamkomalia Lowassa mkidhani mnamuumza JK

2011 Nguvu kubwa ikatumika kuwapeleka kunywa Vikombe kwa Babu wa Loliondo na ili kuwatia ndimu TFDA ikatishia Kama kumfungia Babu Watu wakaja juu wakidhani wanaizodoa Serikal

2016- to date Talk of Town ni Bashite na Serikal imetambua hilo kuwa itawasaidia kupumua kwa kuwa Tangu Bashite awe ndo Talk of town Mijadala yote ya Kisiasa na Kijamii imepoa,

Bajeti zinapitishwa kiulaini, Hakuna Tena Mijadala ya kwanini Hakuna Mikutano ya siasa, ubishi wa Ama kuna njaa or not imekufa, sakata la Fedha za Rambirambi n.k yote imekufa au kupoa na Serikal inajua kabisa ikiruhusu sakata la Bashite kwisha maana yake ni kufungua Fursa ya Mijadala Mwingine iibuke na kuanza kuipa tabu Serikal! Hata ningekuwa Mimi ndio JPM nisingeruhusu Bashite aondoke kipindi hiki

Nani anajadili Tena Mikopo ya Wanafunzi kwa uzito Mkubwa Kama zamani?

Mjadala wa Bashite unainufaisha zaid CCM kuliko Wapinzani
 
Ila ukweli bashite kiburi chote kimeisha. Sasa hivi unaambiwa hata ofisini kwake pale Ilala akiona mtu anacheka anakunja USO akidhani anachekwa yeye. Na zile lugha za majidai hazipo tena
Hahahaha kwahyo anataka watu wanune tuu?
 
Tatizo lako hujanielewa sio kuwa unapinga nilicho comment !

Kumbuka Mbinu za Kisiasa zinabadilika!

2008 Mlisogezewa la Richmond mkaachana na Jk mkamkomalia Lowassa mkidhani mnamuumza JK

2011 Nguvu kubwa ikatumika kuwapeleka kunywa Vikombe kwa Babu wa Loliondo na ili kuwatia ndimu TFDA ikatishia Kama kumfungia Babu Watu wakaja juu wakidhani wanaizodoa Serikal

2016- to date Talk of Town ni Bashite na Serikal imetambua hilo kuwa itawasaidia kupumua kwa kuwa Tangu Bashite awe ndo Talk of town Mijadala yote ya Kisiasa na Kijamii imepoa,

Bajeti zinapitishwa kiulaini, Hakuna Tena Mijadala ya kwanini Hakuna Mikutano ya siasa, ubishi wa Ama kuna njaa or not imekufa, sakata la Fedha za Rambirambi n.k yote imekufa au kupoa na Serikal inajua kabisa ikiruhusu sakata la Bashite kwisha maana yake ni kufungua Fursa ya Mijadala Mwingine iibuke na kuanza kuipa tabu Serikal!

Nani anajadili Tena Mikopo ya Wanafunzi kwa uzito Mkubwa Kama zamani?

Mjadala wa Bashite unainufaisha zaid CCM kuliko Wapinzani
Huu mfano wako naulinganisha na huu.2005 CCM 81% , 2010 CCM 63% , 2015 CCM 56% , 2020 Load......
 
Bunge la Bajeti linaendelea badala ya kuibana Serikal kuhusu utekelezaji wa Bajeti iliyopita wao wamekazania ya Bashite!

Wanasiasa wetu wa Upinzani huwa wanacheza ngoma zinazopigwa na CCM kwa Ujinga wao bila ya kujijua
Ni ukweli mchungu. Serikali za CCM hazijawahi kuwa sikivu. Kelele za wapinzani hazisaidii sana! Kazi ni yetu sisi raia. Tukitegemea wapinzani ndiyo waiwajibishe serikali, tutasubiri mpaka kiama. Hivyo, ni heri wapinzani wacheze freestyle tu! Likija suala la Bashite wamo; suala la terrible teens wamo; suala la bajeti ya maigizo wamo n.k. Let them be na wale bata la kutosha. Taifa la mazuzu hili. Tena nami nataka nigombee ubunge hata kwa CCM ili nami nile nchi, kulaleki!

Mkitegemea wanasiasa watabadili njaa na shida zenu, mtasubiri sana.

Nchi hii inahitaji mapinduzi ya lazima; kwani ya hiari kupitia sanduku la kura (kwa katiba hii) itatuchukua miaka elfu.
 
Back
Top Bottom