Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kheeee kheeeeeee Bashite wa Kolomije wa kujua kusoma na kuandika A E I O U bado kakaliwa kooni hadi kieleweke.

Ila ukweli bashite kiburi chote kimeisha. Sasa hivi unaambiwa hata ofisini kwake pale Ilala akiona mtu anacheka anakunja USO akidhani anachekwa yeye. Na zile lugha za majidai hazipo tena
 
Single ya Bashite imeshachuja tufocus zinazohiti kwa sasa
 
Hapo ndio amewatetea wanaubungo?
Inauma sana mkuu mtu badala ya kusimama akipewa nafasi na spika aeleze matatizo ya wapiga kura wake anajikita kwenye hoja hewa ambazo hata zijibiwe vizuri vipi hazileti maji wala kutatua kero halisia za jimbo lake.Hovyo kabisa upinzani hawajielewi na hawaelewi wameenda kufanya nini bungeni
 
Makonda huenda akawa ni kiongozi bora zaidi kwa siku zijazo....


giphy.gif

 
Back
Top Bottom