Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Huu mfano wako naulinganisha na huu.2005 CCM 81% , 2010 CCM 63% , 2015 CCM 56% , 2020 Load......

Kwa Makusudi kabisa au sijui ulikuwa Mtoto umesahau kuwa 1995 CCM ilipata 61%, 2000 ikapata 75% na 2005 ikapata 82%.

Graph ili ipande lazima iwe chini hivyo usistuke kushuka kwa graph kwani hii sio Mara ya kwanza!

TANU iliwachukua Miaka 7 kuleta Uhuru 1954-1961

ASP iliwachukua Miaka 7 kuleta Mapinduzi Visiwani 1957-1964

Wapinzani wetu wanatimiza robo karne sasa 1992-2017 hata theluthi Moja ya Wabunge hawajafikisha lakin wanajisifu kupunguza asilimia za Ushindi za CCM !
 
Ni ukweli mchungu. Serikali za CCM hazijawahi kuwa sikivu.

Nchi hii inahitaji mapinduzi ya lazima; kwani ya hiari kupitia sanduku la kura (kwa katiba hii) itatuchukua miaka elfu.


Kanuni ya Kwanza ya Mapinduzi
Ni Ujasiri

Ya Pili uthubutu

Ya Tatu kujitoa Muhanga!

............

Tukikuambia anza kwa kuwa Verified user utaanza Nahau Kibao!
 
Mada Wazohangaika Nazo Chadema, Ni Ili Kudraw Atantion Kwa Wananchi. Na Zinawasaidia Hasa Km Jimbon Hakuna Tatizo Af Anaona Kukaa Kmya Ntaonekana Mzembe
 
Makonda kwasasa yupo jimbo la ubungo anatatua kero za maji pamoja nakurejesha viwanja vya wazi vilivyoporwa na mafisadi kubenea yeye anaongea ujinga bungeni,ubungo sijui kama watamwelewa tena.
 
Makonda kwasasa yupo jimbo la ubungo anatatua kero za maji pamoja nakurejesha viwanja vya wazi vilivyoporwa na mafisadi kubenea yeye anaongea ujinga bungeni,ubungo sijui kama watamwelewa tena.
kama wewe peke yako humuelewi hiyo haina athari.
Inawezekana wewe sio mkazi wa ubungo ila unaongea tu ili usikike
 
Makonda kwasasa yupo jimbo la ubungo anatatua kero za maji pamoja nakurejesha viwanja vya wazi vilivyoporwa na mafisadi kubenea yeye anaongea ujinga bungeni,ubungo sijui kama watamwelewa tena.
Huu upinzani wakipumbafu tu umekomalia bashite, bashite so what sijui mwananchi huko jimboni ananufaika vipi na swala bashite.
 
Ila ukweli bashite kiburi chote kimeisha. Sasa hivi unaambiwa hata ofisini kwake pale Ilala akiona mtu anacheka anakunja USO akidhani anachekwa yeye. Na zile lugha za majidai hazipo tena
Mkuu hiz zako ni stor tu,jarb kwnda j3 ofisin kwake km atakuwepo uone km kabadilika hta chembe..ofisi ipo hot km mwanzo hiz za humu jf n stor vjwe tu...
 
CCM wamemuweka Bashite Kama Sacrifical lamb kuwapotezea Muda Wanasiasa , Mijadala Mingi ya Msingi imekosa mvuto kwa kuwa wote wapo na Bashite!

Bunge la Bajeti linaendelea badala ya kuibana Serikal kuhusu utekelezaji wa Bajeti iliyopita wao wamekazania ya Bashite!

Wanasiasa wetu wa Upinzani huwa wanacheza ngoma zinazopigwa na CCM kwa Ujinga wao bila ya kujijua
Na siku wakilijua hili nahisi chama kikuu cha upinzani kitakua ni kpyaa sio katka orodha zlzokuwepo
 
Makonda huenda akawa ni kiongozi bora zaidi kwa siku zijazo....
Kwanini iwe baadae na siyo sasa? Haya basi inawezekana kwa hizo akili zenu za kibashitebashite!
 
that is the only thing Kubenea can say!! hana food for thought

mzee wa shanga
 
Kanuni ya Kwanza ya Mapinduzi
Ni Ujasiri

Ya Pili uthubutu

Ya Tatu kujitoa Muhanga!

............

Tukikuambia anza kwa kuwa Verified user utaanza Nahau Kibao!
Mkiniambia wewe na nani? Wapi nimesema mimi ni jasiri?
 
Jembe la wapi kuongelea mambo ya ilala wakati kwake ubungo kuko how?

Jaribu Hata kuwauliza wajuvi wa mambo watakwambia Mbunge siyo wa jimbo tu bali ni Mbunge wa Taifa! Ndo maana Kwa kizungu huwa miongoni mwa "Public Figures" ! Badae utakuja kuelewa hiki nitachokwambia @ Mkuu! Pia inawezekana amesema Kama raia au mwananchi wa TZ wa kawaida anayo haki ya kuongea au kutoa maoni Juu ya jambo flani ilimradi asivunje sheria ya nchi mathalani asitukane n.k
 
Kilichomkimbiza John Mnyika Jimbo la Ubungo nakiona kwa Mbunge Kubenea uwezekano wa 2020 kurudi Bungeni ni mdogo sana!!

Unaposema hayo unamlinganisha na mbunge gani mwingine ambae Wewe unamkubali na ya kuwa unauhakika kuwa yeye atarudi jimboni kwake mwaka 2020? ni Mbunge yupi ambae unaweza kutuhakikishia kuwa yeye amepeleka maendeleo jimboni kwake baada ya uchaguzi ulopita? Mbona naona Kama mnamhusudu Kubenea? Acheni husuda bana! Wabunge wote almost ni hivyo hivyo tu wanambugilambugila tu hadi sisi wananchi tutakapojitambua vizuri Na kuacha unafiki!
 
Kwa namna moja ama nyingine hata kama mamlaka ya uteuzi haijamtumbua ila ufanisi wa kazi hata nafsi yake inapata taabu sana.
 
BASHITE NA VYETI FAKE
ATUMBULIWE
Napongeza kazi kubwa na nzuri aliyoifanya MKUU kuhusu vyeti fake! Haya ndo maamuzu magumu yaliyozingatia maslahi ya taifa! Ndiyo kuna maumivu, lakini haya maumivu yatapita lakini tija ya zoezi hili ni ya kudumu! Kama Taifa tulikuwa tunaelekea kubaya! Kusoma ni maumivu na gharama kubwa ya muda mrefu! Lakini wajanja wakagundua njia rahisi ya kukwepa maumivu na kulipa gharama ndogo ya Mara moja tu na MTU anapata Cheti! Taifa lilikuwa linaangamia! Tumuunge mkono katika hili!
Ila rai Yangu kwa Bashite ni kwamba alivyomdhalilisha boss wake inatosha akubali kujiudhuru kwa manufaa ya boss wake na ya nchi kwa ujumla! Inaniuma sana kuona MKUU amewekwa kwenye kona na Bashite! Bashite kwa nini huna huruma hata kidogo kwa boss wako ambaye unamsababishia kejeli na matusi kila uchao? Alivyokubeba inatosha! Na wewe mfanyie hisani kwa kujiudhuru, maana inaelekea ni ngumu kwake kukutumbua kwa sababu anakuhurumia jinai inayoweza kukukabili na anathamini pia mchango wako kwa Taifa mpaka muda huu! Lakini ataendelea kuvumulia kejeli na matusi kwa ajili yako mpaka lini? Wewe haulioni hilo? Unampunguzia kasi na ujasiri wa kufanyia kazi maono yake mazuri kwa ajili nchi yetu!
Ni afadhali mara mia hata ukashitakiwa na kufungwa ili umwache huru kulitumikia Taifa, utakuwa umemtendea haki sana! Lakini pia ukihukumiwa kifungo ana nafasi ya kukusamehe na usitumikie hicho kifungo!
Inawezekana kabisa wewe Bashite ndo umesababisha wanasiasa wasikaguliwe vyeti vyao! Kama ndivyo huoni kuwa umemkwamisha boss wako asiweze kulishughulikia tatizo LA vyeti fake kwa ukamilifu wake? Wanasiasa wataendelea kufoji vyeti maana wameona hawaguswi!
 
Unaposema hayo unamlinganisha na mbunge gani mwingine ambae Wewe unamkubali na ya kuwa unauhakika kuwa yeye atarudi jimboni kwake mwaka 2020? ni Mbunge yupi ambae unaweza kutuhakikishia kuwa yeye amepeleka maendeleo jimboni kwake baada ya uchaguzi ulopita? Mbona naona Kama mnamhusudu Kubenea? Acheni husuda bana! Wabunge wote almost ni hivyo hivyo tu wanambugilambugila tu hadi sisi wananchi tutakapojitambua vizuri Na kuacha unafiki!
2020 is just knocking the door!! You just wait see!!
 
Kwenye hiyo clip nimemsikia mbunge wa kafu analalamika mashehe wanaozea gerezani kwa miaka 4 sasa!
Sipingani naye katika malakamiko yake kimsingi, ila nampinga kujaribu kutuingizia hisia za udini! Wale watu wanatuhumiwa kama wao na ushehe wao hauhusiki! Awatetee kwa majina yao, siyo kwa ushehe wao! Aseme Fulani na Fulani wanaozea gerezani kwa miaka 4 sasa!
Tuseme hapana kwa hisia za udini!
 
Back
Top Bottom