Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Kubenea ni moja ya Wabunge ambao hawatarudi Bungeni 2020 hana anachofanya Ubungo
Huyu jamaa ni mbunge wangu hapa Ubungo,but sioni ambacho anakifanya zaidi ya maneno ya mipasho like mwanamke wa saloon
 
Hayo
Bashite ni nani?? Watasema wakichoka watalala!!

2020 kuna baadhi ya Wabunge hawatarudi Bungeni kwa sababu wameacha kufanya mambo ya msingi kuhusu majimbo yao wamebaki na habari za Gwajima na Mange!
Wanayoyasema sisi ndio tunayataka
Hawa tutawachagua tena kwa kishindo.
Wale wanalonyamazia swala LA Bashite wajiandae kutorudi bungeni.
 
CCM wamemuweka Bashite Kama Sacrifical lamb kuwapotezea Muda Wanasiasa , Mijadala Mingi ya Msingi imekosa mvuto kwa kuwa wote wapo na Bashite!

Bunge la Bajeti linaendelea badala ya kuibana Serikal kuhusu utekelezaji wa Bajeti iliyopita wao wamekazania ya Bashite!

Wanasiasa wetu wa Upinzani huwa wanacheza ngoma zinazopigwa na CCM kwa Ujinga wao bila ya kujijua
Ninaamini kuwa Nimekuelewa vizuri.
 
Makonda huenda akawa ni kiongozi bora zaidi kwa siku zijazo....
Viashiria gani unatumia kufikia hitimisho hilo? Au usikute uko ndotoni na ukiamka anaendelea kuviona viashiria vya Makonda aka Bashite kuendelea kupungukiwa na ukubali wa wengi?
 
Makonda huenda akawa ni kiongozi bora zaidi kwa siku zijazo....
Tangu Makonda awe mkuu wa mkoa, nini cha maana amefanya?
..kafukuza ombaomba, ameshindwa
..amedili na wauza p!ssy ameshindwa.
..kapiga marufuku kulala guest mchana, ameshindwa.
..madawa ya kulevya, well sote tunajua alipoishia.
 
Ila ukweli bashite kiburi chote kimeisha. Sasa hivi unaambiwa hata ofisini kwake pale Ilala akiona mtu anacheka anakunja USO akidhani anachekwa yeye. Na zile lugha za majidai hazipo tena
Akili zako hazikutoshi, wewe mwenyewe huna cheti, Baba yako hana cheti, mama yako ndiyo kabisaaa.
 
Back
Top Bottom