idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Huyu zero brain au kuna mwingine unayemzungumzia?
Labda kwenu Rwanda
Ujasiri alionao ni watu wachache wamebarikiwa kuwa nao.Labda huko kwenu kolomije
Huyu zero brain au kuna mwingine unayemzungumzia?
Labda kwenu Rwanda
Ujasiri alionao ni watu wachache wamebarikiwa kuwa nao.Labda huko kwenu kolomije
CCM wanacha maana wanachojua bungeni zaidi ya ndioooo. Hiyo bajeti unayozungumzia hata 30% ya fedha zinazopitishwa hazitolewi. Unajua bajeti hii tunayomaliza nayo imetekelezwa kwa asilimia ngapi?CCM wamemuweka Bashite Kama Sacrifical lamb kuwapotezea Muda Wanasiasa , Mijadala Mingi ya Msingi imekosa mvuto kwa kuwa wote wapo na Bashite!
Bunge la Bajeti linaendelea badala ya kuibana Serikal kuhusu utekelezaji wa Bajeti iliyopita wao wamekazania ya Bashite!
Wanasiasa wetu wa Upinzani huwa wanacheza ngoma zinazopigwa na CCM kwa Ujinga wao bila ya kujijua
Bashite hana cheti ameghushi anahitaji kupelekwa mahakamaniHata mwenye elimu ya hapa na pale nae anahoji vyeti vya Makonda.Binadamu wepesi sana kujisahau
Si mumuacheHuyu Bashite amekua kero sasa mamlaka husika zina mlinda mno
Toa ushahidiBASHITE NA VYETI FAKE
ATUMBULIWE
WamethibitikaMbona watu wamepoteza kazi kwa vyeti fake nae aende ndio haki
Hivi ccm hivi vichwa vyenu vina mdudu gani kichwani? Au mlimtuma akavamie clouds media?Wanaubungo walimtuma akamchambe huyo anayemchamba au walimtuma awaletee maendeleo? Hovyo kabisha
Hoja zipo nyingiBashite na mkulu wameharibu furaha za watanzania na wanaiharibu nchi
Ka mlipue weweHuyu Bashite amekua kero sasa mamlaka husika zina mlinda mno
Ana kiswahili kizuri pia...Uyo bi mkubwa wa cuf nimemkubali kwa kupanga hoja mungu ampe kila la kheri kamzidi le prof pumba
Nasikia sio buku7 ni buku3Bashite ni nani?? Watasema wakichoka watalala!!
2020 kuna baadhi ya Wabunge hawatarudi Bungeni kwa sababu wameacha kufanya mambo ya msingi kuhusu majimbo yao wamebaki na habari za Gwajima na Mange!
Bashite ndo tatizo kuu la nchi kama hujuiAnaacha kukalia kooni na kutatua shida za wapiga KURA wake. Watu wa aina hii ni hatari sana katika jamii.
Usijafanye hujui wwKiongozi gani analindwa kwa kutenda jinai,na analindwa na nani?
Anaacha kukalia kooni na kutatua shida za wapiga KURA wake. Watu wa aina hii ni hatari sana katika jamii.
Hiyo studio unayotuhumu kuwa ilivamiwa iko jimbo la ubungo? Maruhuni wewe? Mambo ya ilala yana uhusiano gani na mbunge wa ubungo? Shenzi type shughulikia ya jimboni kwako.wapiga kura ubungo walikutuma ukashughulikie ya watu wa Jimbo la ilala?Hivi ccm hivi vichwa vyenu vina mdudu gani kichwani? Au mlimtuma akavamie clouds media?
Hapo ndio amewatetea wanaubungo?