mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,208
- 1,109
Muafaka wa kitaifa unatakiwa kwa haraka sana.mbegu na matunda ya chuki za kisiasa madhara yake ni zaidi ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.nchi hii ni mali yetu sote.
aliisha oa zamani
Watu wengine wanadhani kwamba ukishakua mbunge basi upo juu ya sheria, hii ni tafsiri ya ukawa wote.
Muafaka wa kitaifa unatakiwa kwa haraka sana.mbegu na matunda ya chuki za kisiasa madhara yake ni zaidi ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.nchi hii ni mali yetu sote.
Kama huyo Dogo Makonda asipofungwa 'speed governor' na watu wenye mamlaka zaidi yake, hakika huyo jamaa anaweza kusababisha mtafaruku mkubwa hapa nchini.Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.
Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu
Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili
Ukitukana si unaenda polisi kushtaki and then mahakamani,sasa hii ya kujichukulia sheria mikononi duh.Halafu ukisha frame wakati kulikuwa na mashahidi inaelekea miavuli ya Magufuli mingine ni mibovu ya kutupa tu
Kweli Mkuu, huyo Stroke anakutafutia ban ya kulazimisha....................mknd wk! hv wewe kwanini kila cku unanitafutia ban kwa lazima? kwani huyo mumeo Paul Makonda yeye yupo juu ya sheria au yupo juu ya kifua cha m@m@k0?
wakati wanazinguana na watu walikuwepo polisi walikuwepo waandishi walikuwepo ushahidi utaletwa na haki itatendeka, ukiwa ukawa utukane kila mtu haiwezekani akatukane bungeni mtaani utaenda segerea tu.
Niseme tu kuwa sasa nimeanza kumchukia Magufuli.
Kwani kubenea alimwita kibaka??? Aaah kama unamwita mkuu wa wilaya kibaka tena...hayo maneno wapi na wapi??
Niseme tu kuwa sasa nimeanza kumchukia Magufuli.
kwani Paul Makonda sio kibaka? wewe unamuonaje?
Kwani wewe hakimu?Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.
Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu
Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili
mknd wk! hv wewe kwanini kila cku unanitafutia ban kwa lazima? kwani huyo mumeo Paul Makonda yeye yupo juu ya sheria au yupo juu ya kifua cha m@m@k0?
Kwani wewe hakimu?
Si kesi imepelekwa mahakamani, sasa mukampatie dhamana kesi iahirishwe, uchunguzi uendelee, Kubenea aendelee kuripoti kituoni miezi na miezi.
Somo kwenu, nyie mmshika makali, mwenzenu Makonda kashika mpini, kila mmoja avute saizi yake na atakaye umia aachie hilo panga.