Kubenea ana ugonjwa wa chuki (Uchambuzi)

Kubenea ana ugonjwa wa chuki (Uchambuzi)

Nilishasema ZItto ni mnafiki!! Amejawa na uoga wa kunyang'anywa uwenyekiti wa PAC kupitia mgongo wa CCM
 
Nikama za macho vile ila mbona una ukali sana mkuu??? Eti tofauti nikua ZZK hana mke anayeeleweka na Slaa ana Hawara anayeeleweka, sasa haya yooote ya nini kwenye jukwaa la siasa kamanda???
 
huyu kijana ana matatizo mengi sana act wasipokuwa makni watakuja kujutia kuwa na kiongozi kama zitto kabwe
zitto hajulikani anatetea nini sera gani yeye anaangalia upepo unavuma kuelekea wapi lkn kipindi hiki amekosea njia
 
Zitto Ruyagwa Kabwe amechanganyikiwa, baada ya kusaliti mabadiliko ya kweli amekuwa mtu asiyejielewa, amekuwa kama mbwa kichaa anayemvamia mtu yeyote na kumng'ata, yeye na Dr Slaa hawana tofauti, tofauti yao ni kuwa Zitto ni kijana na hana mwanamke anayeeleweka, na Dr slaa ni mzee na ana hawara anayeeleweka.

Zitto amesema ktk tweet yake kuwa Kubenea anaumwa ugonjwa wa chuki, sasa sijui ni nani mwenye huo ugonjwa kati ya kubenea na Zitto? Zitto ni mnafiki na nyoka mwenye vichwa viwili anayegonga huku na kule, amekuwa akijipendekeza kwa serikali ya CCM kila Leo, bahati nzuri wenye akili zao wanamjua tayari kuwa Zitto ni mtu wa aina gani, Zitto ni mnafiki na anachuki kubwa kwa watanzania maana anawadanganya kuwa yeye ni mpinzani kumbe ni wakala wa CCM ktk kuua upinzani.

Wewe Zitto achana na Kubenea wewe tayari unajulikana vizuri sana, asiyekujua wewe basi ni wa kumwonea huruma sana wewe ndo una chuki ndo maana unapenda kukaa na watu wenye chuki na husda na kujipendekeza kama kina Makonda, bahati mbaya kwako na genge lako ni kuwa, serikali ya Rais Magufuli haina muda na wanafiki kama wewe.
Ana rangi nyingi na zote zimejulikana sasa, hahofii kubadilisha maneno alimradi tu itamlipa na kumjenga, daima hupenda kuonekana yeye ndio the best na the rest ni makapi.... Usaliti na undumilakuwili hizi ndio sifa zake kuu... Haaminishi anachokisema na hasemi anachomaanisha
 
Zitto Ruyagwa Kabwe amechanganyikiwa, baada ya kusaliti mabadiliko ya kweli amekuwa mtu asiyejielewa, amekuwa kama mbwa kichaa anayemvamia mtu yeyote na kumng'ata,.
.

Unaweza kuwa na hoja lakini jazba hiyo uliyo nayo inaweza kupotosha umuhimu wa hoja.
 
Zitto Ruyagwa Kabwe amechanganyikiwa, baada ya kusaliti mabadiliko ya kweli amekuwa mtu asiyejielewa, amekuwa kama mbwa kichaa anayemvamia mtu yeyote na kumng'ata, yeye na Dr Slaa hawana tofauti, tofauti yao ni kuwa Zitto ni kijana na hana mwanamke anayeeleweka, na Dr slaa ni mzee na ana hawara anayeeleweka.

Zitto amesema ktk tweet yake kuwa Kubenea anaumwa ugonjwa wa chuki, sasa sijui ni nani mwenye huo ugonjwa kati ya kubenea na Zitto? Zitto ni mnafiki na nyoka mwenye vichwa viwili anayegonga huku na kule, amekuwa akijipendekeza kwa serikali ya CCM kila Leo, bahati nzuri wenye akili zao wanamjua tayari kuwa Zitto ni mtu wa aina gani, Zitto ni mnafiki na anachuki kubwa kwa watanzania maana anawadanganya kuwa yeye ni mpinzani kumbe ni wakala wa CCM ktk kuua upinzani.

Wewe Zitto achana na Kubenea wewe tayari unajulikana vizuri sana, asiyekujua wewe basi ni wa kumwonea huruma sana wewe ndo una chuki ndo maana unapenda kukaa na watu wenye chuki na husda na kujipendekeza kama kina Makonda, bahati mbaya kwako na genge lako ni kuwa, serikali ya Rais Magufuli haina muda na wanafiki kama wewe.
Ungeweza kumshambulia Zitto bila kumwingiza Dr.Slaa.

Kwa kumwingiza Dr.Slaa kwenye vita yenu binafsi na Zitto. ...umeonyesha udhaifu wako.
 
Zitto Ruyagwa Kabwe amechanganyikiwa, baada ya kusaliti mabadiliko ya kweli amekuwa mtu asiyejielewa, amekuwa kama mbwa kichaa anayemvamia mtu yeyote na kumng'ata, yeye na Dr Slaa hawana tofauti, tofauti yao ni kuwa Zitto ni kijana na hana mwanamke anayeeleweka, na Dr slaa ni mzee na ana hawara anayeeleweka.

Zitto amesema ktk tweet yake kuwa Kubenea anaumwa ugonjwa wa chuki, sasa sijui ni nani mwenye huo ugonjwa kati ya kubenea na Zitto? Zitto ni mnafiki na nyoka mwenye vichwa viwili anayegonga huku na kule, amekuwa akijipendekeza kwa serikali ya CCM kila Leo, bahati nzuri wenye akili zao wanamjua tayari kuwa Zitto ni mtu wa aina gani, Zitto ni mnafiki na anachuki kubwa kwa watanzania maana anawadanganya kuwa yeye ni mpinzani kumbe ni wakala wa CCM ktk kuua upinzani.

Wewe Zitto achana na Kubenea wewe tayari unajulikana vizuri sana, asiyekujua wewe basi ni wa kumwonea huruma sana wewe ndo una chuki ndo maana unapenda kukaa na watu wenye chuki na husda na kujipendekeza kama kina Makonda, bahati mbaya kwako na genge lako ni kuwa, serikali ya Rais Magufuli haina muda na wanafiki kama wewe.
Hata kama Zitto ana matatizo lakini inavyoonekana hakushindi wewe. Matatizo yako uliyoyaeleza hapa nyuma ya maandishi yako, yanaoesha unahitaji msaada wa haraka. Zitto mwenzio anafanya kwa ajili ya siasa wewe unafanya kwa ajili ya nini? Hebu jipange ulete issue badala ya kuzungumzia maisha ya mtu binafsi utafikiri umeachika bwana
 
Zito alifurahishwa na Kafulila kuibiwa kura,ktk twit yake akasema tutaheshimiana
 
Hoja yako ni kuhusu zito sasa na dk slaa ameingia vipi? mtoa mada hoja yako imekosa mashiko sabab unaonekana una jazba na chuki binafsi kwa zito kabwe.
 
Tatizo naliona kwa mtoa mada. Naona una chuki kwa Zito na Slaa. Wewe unaamini hawa wawili wasaliti kwa upinzani wa Tanzania ila Mbowe malaika kwa kumwalika, kumpokea na kumteua Lowasa kuwa kiongozi wa upinzani kuitaka ikulu? Tupo wengi tunaoamini kama Zito na Slaa. Unaamini maandishi ya Kubenea kabla na baada ya Lowasa kujiunga CDM yana msimamo mmoja. Vichwa visivyoafiki hoja hii si hivyo tu unavyovisuta. Wengine hatuamini katika uhuni bila kujali uhuni huo unafanyika CCM au CDM. Kwetu Tanzania ni zaidi ya CCM,CDM au CUF.
 
Zito ana chuki nzito na mzazi wake wa kiume,chunguza ubini wake kabla ya kutema povu
 
vijana wa BAVICHA NA wafuasi wa CHAGADEMA ugonjwa wa ZITTOPHOBIA utawaua .Ukiona unatumia muda mwingi kumzushia mtu,kumsengenya,kumfitinisha na jamii bila ya huyo mtu kukujibu basi tambua huyo mtu ni bora zaidi yako. Kwa kifupi Chagga Development Manifest (CHADEMA) hamumuwezi ZZK. Fanyeni yenu.
 
Nani asiyemjua huyu jamaa.....!?/
si mwanasiasa wa kweli/
One who made life through KUNGATA NA KUPULIZA/
HAJULIKANI NI MPINZANI WA KWELI AU LA!!/ BUT LIFE GOES ON.
 
Zito ana chuki nzito na mzazi wake wa kiume,chunguza ubini wake kabla ya kutema povu

Ndoa ya Zitto na CDM ilivunjika zamani baada ya kujulikana kuwa Zitto siyo mwaminifu kwenye ndoa hiyo.

Baada ya ndoa kuvunjika, Zitto aliondoka na kupata partner mwingine (ACT), CDM naye kapata partner mwingine (Lowassa + Sumaye).

Kinachotokea ni kwamba aliyeumia sana ndiye ataendelea kumchunguza x wake, tunaweza kujua nani bado
 
vijana wa BAVICHA NA wafuasi wa CHAGADEMA ugonjwa wa ZITTOPHOBIA utawaua .Ukiona unatumia muda mwingi kumzushia mtu,kumsengenya,kumfitinisha na jamii bila ya huyo mtu kukujibu basi tambua huyo mtu ni bora zaidi yako. Kwa kifupi Chagga Development Manifest (CHADEMA) hamumuwezi ZZK. Fanyeni yenu.
Sasa hapo nani kazushiwa kati ya mtoa habari au zitto
 
Sasa unatuambia sisi ili tufanyeje?, Kama una shida na Zitto si umpigie simu?
 
Back
Top Bottom