Nani anahangaika na kumuandika Kubenea? yeye ndio kutwa kucha anawaandama watu walewale. Kama alivyomuandama Lowasa kabla hajalamba mshiko wa fisadi, basi nadhani na kwa Zito ataacha tu baadae.Kubenea mmesema ana elimu ndogo ya kuungaunga..inakuwaje nnamuandama kila siku..tatizo nini..nyie wasomi ingekuwa bora mungempuuza kubenea..inaonekana nyie na usomi wenu kubenea kawashika pabaya ndio maana kila siku mnaandika waraka mpya wakumsema na kumzushia huyu nguli wa habari
Hoja hapa ni uwezo mdogo wa uandishi wa habari wa Said Kubenea. Wala sio kabila la Zitto na mleta uzi. Kubenea na wengine wengi wanaoandika utumbo kwenye magazeti ya nchi hii katika miaka ya hivi karibuni ni aibu ya shule za uandishi wa habari tulizonazo. Hizi ndizo products ambazo waalimu wa journalism wanajisifu!, wapendwa bado tuko shimoni na sauti ya mtu anayekuja kutuokoa bado haijasikika.
Nafikiri wangetoa majibu kwa maswali yako haya basi suluhisho la kuzielewa tabia za ZZK na kumwelewa kwa nini yeye ni tofauti na wapinzani wengine ingefahamika.Mleta uzi na Kubenea wote kwangu mko sahihi; Kubenea anaongeleaga maovu ya Zitto na mwandishi kachagua mazuri ya zitto, ni vile tu umeamua kusimama upande gani ili ujue Namba 6 yaweza kua 9 depending where you positioned yourself.
WachaMungu wanamchukia sana shetani but wapo wanaomuabudu shetani huyo huyo na kumsifia as well. Wengine hatuna maslahi binafsi na yeyote kati ya Zitto wala Kubenea but swali huaga najiulizaga; hivi Zitto huwa ana nini na vyombo vya dola? Pamoja na kutishia kunyang'anya ULAJI wa Pinda bado hajawahi kuguswa hata na police?
Wagombea ubunge wote wa upinzani Kigoma walikamiwa kweli kweli na hadi sasa kunaonekana haki imegoma kabisa kumfuata Kafulila lakini Zitto hapana; kaweza hadi kufanya makubaliano ya kubadilishana majimbo na mgombea wa CCM na wote wameshinda.
Nakumbuka tukio 1 la Dr. Slaa mwaka 2007, alitaja mshahara wake kama mbunge akiwa mkoani Singida na tena alikua peke yake, alisakamwa kweli kweli si na vyombo vya dola tu bali hadi aliyekua spika wa bunge wakati huo mzee 6; Zitto akiwa Mpanda alitaja mshahara wa waziri mkuu (sio mshahara wake yeye zZtto) na akiwa Igunga akataja mshahara wa rais, hadi leo sina kumbukumbu kama kuna chombo chochote kilicho mu attach ukiachilia mbali Pinda kulia lia tu bungeni wakati akijibu swali la mbunge mmojawapo.
Swali: Zitto ana nini na serikali?
Nakumbuka matukio kadhaa ya Godbless Lema; amewahi kua anatembea tu toka mahakamani kwenda ofisini kwake na wafuasi wake/wapiga KURA wake wakawa wanamfuata kwa nyuma, alikamatwa na kuwekwa ndani na police; alikwenda kusuruhisha mgogoro wa wanafunzi wa chuo cha UHASIBU Arusha, again police kwa kushirikiana na aliyekua mkuu wa mkoa huo akawekwa ndani!
Dhambi zilizofanywa na Lema na Zitto zaweza kuwa sawa au mwingine kafanya sana but adhabu hua tofauti. Nauliza Zitto hua ana nini cha zaidi?
Hongera Kubenea, hongera mleta uzi; kwangu nyie wote mko sahihi kwa mitazamo yenu.
...
Swali: Zitto ana nini na serikali?
...
Dhambi zilizofanywa na Lema na Zitto zaweza kuwa sawa au mwingine kafanya sana but adhabu hua tofauti. Nauliza Zitto hua ana nini cha zaidi?
Hongera Kubenea, hongera mleta uzi; kwangu nyie wote mko sahihi kwa mitazamo yenu.
Mlishasema kuwa huyu jamaa hajasomea kabisa hii taaluma ya uandishi wa habari, sasa hayo maadili yake atayajulia wapi? Kwanza nakala ya mleta hoja kwa Kubenea ni elimu anayoendelea kuipata hapa na pale free of charge.. Kuna masahihisho machache ili somo lieleweke vizuri:Uchambuzi mwanana kabisa, chuki ni ugonjwa mbaya sana, naamini mwisho wa kubenea utakuwa mbaya sana, tatizo lake ni elimu , elimu yake ni ya dini na dunia viko chini sana!
Suala sio kuanzisha gazeti langu, pointi ni kwamba ninaiuhurumia sekta nzima ya uandishi wa habari, haina standards imejaa kila aina ya makanjanja. Nitakapoanzisha la kwangu bado tatizo la ukanjanja litabakia pale paleAnzisha lako mkuu uandike unavyotaka wewe.
Kubenea ni ndumilakuwili mbobezi.....nyumbu kama nyie ndio mnaona ana mantiki....wenye maono na fikra huru Kubenea ni kituko...nashukuru kuona sindano za Kubenea zinaendelea kugusa mfupa wa mwami,na bado...,mkitaka bosi wenu aachwe nae aache tabia zake za kitapeli.
Sio mchana kakiwa bungeni kanampigia makofi makufuli,halafu kakishasifiwa usiku kakienda twitter kanamwambia mshindi wa znz atangazwe.!!
Acha kumshambulia mleta mada....vithibitisho viambata vinaonesha kubenea ana chuki na ni kanjanja wa habari......nyumbu wake kama nyie ndio mnamshadadiaYaaani andiko reeeefuu kisa chuki zako binafsi na Kubenea. Ni vema ujue kuwa Kubenea ameshakuwa mbunge halali wa Ubungo majungu yako labda yatazidi kumpaisha tofauti na unavyoamini.
Acha kumshambulia mleta mada....vithibitisho viambata vinaonesha kubenea ana chuki na ni kanjanja wa habari......nyumbu wake kama nyie ndio mnamshadadia
Hapo kwenye bold unaweza fafanua kidogo mkuu!?Hapo ndipo itabidi umpe ZZK heshima yake kama mwanasiasa "smart" anayeendesha shughuli zake kwa hesabu na malengo maalum.