TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,194
Mwenzako juzi aliamua kucheza kamali (kubett) na ikamlipa 20+10 japo machine ilitaka kugoma kumwaga pesa, kweli hali mbaya 😂🤣!Acha Tupuyange tu
Wéee baki ivoivo,,
Mwenzako juzi aliamua kucheza kamali (kubett) na ikamlipa 20+10 japo machine ilitaka kugoma kumwaga pesa, kweli hali mbaya 😂🤣!Acha Tupuyange tu
Wéee baki ivoivo,,
Msaliti huyo kima..Nilijua Kubenea ni Bonge la Mwamba
Kumbe Mlaini tu
Chozi Alilomwaga Kashindwa Hata Kumalizia Shukrani Zake kwa Waandishi Wenzie wa Habari Waliojitoa Kumkomboa
Kweli Sheria ya Utakatishaji Noumer
====
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ambapo kesi inayomkabili itatajwa September 21, 2020.
Kubenea ambaye pia alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020), alifikishwa Mahakamani juzi baada ya DPP Biswalo kuidhinisha mashtaka dhidi yake ya kutuhumiwa kuingiza nchini fedha za kigeni bila kutoa tamko na pia kuingia Tanzania kinyume na sheria za uhamiaji.
View attachment 1566836
Ila Nyalandu na Masha sio Malaya wa vyama?Kubenea Nilijua Mwamba kumbe hakuna kitu.
"Mwalimu nyerere aliwahi kusema wanasiasa wana Tabia za kimalaya malayal.
Jk Nyerere.
Kubenea ni malaya wa vyama.
Umalaya utazidi mumponza Jacob huyo Ubungo.
Dogo, hao ni wa chadema?!Wabunge wa Chadema wanapenda sana kulia si unamkumbuka Lijualikali!
Hii haikuwa "near life threat" kama ulivyoiita bali ilikuwa ni "life threat halisi"Kwa hiyo kubenea ni jiwe kwamba hana moments za hisia kama binadamu yoyote yule?
Alikuwa kwenye brink ya kupoteza kila kitu kwa kesi iliyomkuta... kuponea nalo ni heri.
Sisemi kuwa alie lie hovyo.. hapana. But this near life threat situation mwaume akitoa chozi sishangai
huyu ndo anayejua kuropoka siku hiyo atalia machozi ya damu,wapo kimya hao jamaa wanaongezea tu makosa juu ya yale anayo ya kuropoka huko nje,kuruka dhamanA,kejeli kwa rais JPM,USALITI,KUHUJUMU UCHUMI.Ndio maana Lissu anasema kwenye kampeni zake kuwa Magu ni katili.
Hao wote siyo wa Chadema.Wabunge wa Chadema wanapenda sana kulia si unamkumbuka Lijualikali!
Acha kukariri ,anagombea KinondoniKUBENEA HAWEZI KUSHINDA UBUNGE ALILOFANYA NI DOA KUBWA SANA KTK SIASA.UBUNGO HAWAZEZI KUMCHAGUA MSAFIRISHA PESA CHAFU NA KUVUKA MPAKA KINYUME NA SHERIA
Hahahaa usiguate sheria kisha usingizie magufuli?Ndio maana Lissu anasema kwenye kampeni zake kuwa Magu ni katili.
Ndio Wamemuachia Sasa Tena Bure
Kawatumbue
Ameshasahau!! Akiliccm wanazijua wenyewe ikiwa mpaka leo wanashangaa Tanzania kwanini ni maskini ilhali wao ndio wako madarakani zaidi ya nusu karne daaah!!Si yuko ccm
Hili nalo nenoAmeshasahau!! Akiliccm wanazijua wenyewe ikiwa mpaka leo wanashangaa Tanzania kwanini ni maskini ilhali wao ndio wako madarakani zaidi ya nusu karne daaah!!