Kubeba nauli kamili nayo ni shida

Kubeba nauli kamili nayo ni shida

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Ndugu zangu kubeba nauli kamili nayo ni shida, yani nimepanda daladala Kondakta mmoja akaingia kwenye gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma.

Sasa baada ya muda Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa/nauli watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada.......
 
Hakuna namna inabidi umdai chenchi mwambie ulimpa zaid
 
Kubeba nauli kamili nayo ni shida. Yani nimepanda daladala, kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani kisha akakusanya pesa gari zima alafu akakaa siti ya nyuma.

Baade, kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa. Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!
 
....dah...u make ma weekend good.. Hata sion machungu ya tanesco kukata umeme kitaani
 
hahajahahaaa nataman kungekuwa na sehemu ya kujirekod maana nimecheka kubwaa
 
Back
Top Bottom