Kubadilishana vyumba vya hostel UDSM

Kubadilishana vyumba vya hostel UDSM

nastar

Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
9
Reaction score
8
Mambo vp wadau natafuta mtu wa kubadilishana nae mm nmepangiwa mabibo hostel natafuta mtu aliepangiwa main campus mliman tubadilishane yy aende mabibo mm anipe cha main campus. Kama upo tayar ni PM
 
Bro baki mjini hapo au huwezi shuttlepori!!!
 
oyaa Kwan mabibo hostel ndo ippo town
Huwa panaitwa mjini kule na Main campus mazingira yake tofauti sana!!! hasa Huduma zake zipo zakutosha kuanzia stationary km mzee wa mpira kule game zote utakuwa unacheki msosi ni full mama kifusi Yupo kwa ajili yenu kuwapa madini
 
Mabibo hostel ndo mpango mzima wew wanapajua walopaish kule campus shida na changamoto nying mkuu.utaona au uliza ambao tayar wameish uko now
 
Kaa bibo ww acha uoga huko campus saa mja mko ndan wte ka kuku au bdo unapenda maisha ya boarding.
 
Huwa panaitwa mjini kule na Main campus mazingira yake tofauti sana!!! hasa Huduma zake zipo zakutosha kuanzia stationary km mzee wa mpira kule game zote utakuwa unacheki msosi ni full mama kifusi Yupo kwa ajili yenu kuwapa madini

Ah, umenikumbusha Mama Kifusi....msalimie sana. Ila kuweni makini dhidi yeast inayowekwa kwenye chakula ili kuongeza ujazo.
 
Ulipo pangwa ishi cha muhimu ni kusoma kwa bidii vinginevyo semester itaisha kwa kutafuta accomodation.
 
Anayetafuta chumba mabibo anitafute nina mtu wangu, amefanikiwa kupata chumba survey so anauza chumba chake. ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom