kubadili imei ni kosa kisheria na hukumu yake ni miaka 10 jela au faini milioni30 au vyote kwa pamoja... just kukukumbusha tuunimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
Nitajie ya kwako bossUna bei gani nivunje sheria za nchi??...
mimi sijaulizia maswala ya sheria nahitaji namna ya kubadilikubadili imei ni kosa kisheria na hukumu yake ni miaka 10 jela au faini milioni30 au vyote kwa pamoja... just kukukumbusha tuu
baki na uzwazwa wakoShezi kabsa, TCRA wako nyuma yako pambana na hali yako tu
Mkuu mbona povu?!!kama ni kosa mtahadharishe kwa busara tu nchi hii sio kila mtu anazijua sheria as long as waliozitunga wenyewe kuna wakati wanazivunja itakuwa raia wa kawaida kutozijua!!!back to the topic,kama unajua namna ya ku-root simu fanya hivyo njia hii nayo inasaidia.kuna baadhi ya simu ukizi-root automatically IMEI inabadilika,nilishawahi kufanya hivyo ndo maana nimesema.Shezi kabsa, TCRA wako nyuma yako pambana na hali yako tu
50 unayo ya fastanimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
yangu nimefanya ivo sasa imezingua ndio maana natafuta solutionMkuu mbona povu?!!kama ni kosa mtahadharishe kwa busara tu nchi hii sio kila mtu anazijua sheria as long as waliozitunga wenyewe kuna wakati wanazivunja itakuwa raia wa kawaida kutozijua!!!back to the topic,kama unajua namna ya ku-root simu fanya hivyo njia hii nayo inasaidia.kuna baadhi ya simu ukizi-root automatically IMEI inabadilika,nilishawahi kufanya hivyo ndo maana nimesema.
ipo50 unayo ya fasta
upo mkoa gani
Lakini mkubwa line kutosoma c tatizo la imei, kwa nijuavyo ni network ndio hupatinimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
eti cmu ukiiroot imei zinabadilika? urs is WORLD'S FIRST...Mkuu mbona povu?!!kama ni kosa mtahadharishe kwa busara tu nchi hii sio kila mtu anazijua sheria as long as waliozitunga wenyewe kuna wakati wanazivunja itakuwa raia wa kawaida kutozijua!!!back to the topic,kama unajua namna ya ku-root simu fanya hivyo njia hii nayo inasaidia.kuna baadhi ya simu ukizi-root automatically IMEI inabadilika,nilishawahi kufanya hivyo ndo maana nimesema.
mkuu leo nimetumia ujuzi wangu .....Nimefikiria kama Einstein Vile ila nilichoambulia ni kufungua calls na sms line inasoma ila data hakuna ... kwa juu simu inaandika Roaming IndicatorLakini mkubwa line kutosoma c tatizo la imei, kwa nijuavyo ni network ndio hupati
wacha sisi tuongeze ujuzi bhanaUle usemi wa Ulipo Tupo siyo tu kwa Shilawadu, applicable kwa TCRA pia... tunawachora tyuuuu
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us