Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
Chief...nilishawahi kufanya hivyo,Huawei Y625U35 nilii-root IMEI ya kwenye system ikabadilika tofauti na ya kwenye motherboard na hadi sasa simu naitumia bila tatizo lolote.kumbuka sio kila mtu anajua kila kitu vingine lazima uvisikie kwa watu.eti cmu ukiiroot imei zinabadilika? urs is WORLD'S FIRST...