Kubadilisha Certificate/imei ya S6

eti cmu ukiiroot imei zinabadilika? urs is WORLD'S FIRST...
Chief...nilishawahi kufanya hivyo,Huawei Y625U35 nilii-root IMEI ya kwenye system ikabadilika tofauti na ya kwenye motherboard na hadi sasa simu naitumia bila tatizo lolote.kumbuka sio kila mtu anajua kila kitu vingine lazima uvisikie kwa watu.
 
muanzisha huu uzi nijibu haya... hapo ilipo cmu yako ukipiga *#06# inakuletea imei zipi? na hizo imei zinazokuja hapo ni sawa na zile zilizopo nyuma ya cmu yako?... lengo ni kujua kama unahitaji imei changing or just a repair.. yawezekana ur original imei zimekuwa blacklisted au efs partition ya cmu yako ime corrupt so imei zimebadilika

zinaanza na 99 simu yangu haina cover ya kufunguka
 
zinaanza na 99 simu yangu haina cover ya kufunguka
najua kuwa s6 haina kava linalofunguks bt always imei huwa written at the back.. imei kuanza na 99 cyo tatizo kwani ziko hata zinazoanza na 01, 86 na cyo lazima zianze na 35... kama hakuna imei at the back then u must change to new one and not repair.. hata ukitaka kuwrite cert still hakuna free cert for such models na hata ukibahatisha kuipata bac haitochukua muda mrefu kabla haijawa blacklisted again so ur better option ni kununua cert which costs arround 30$ na kuwrite hyo cert u need professional tools
 
najua kuwa s6 haina kava linalofunguks bt always imei huwa written at the back.. imei kuanza na 99 cyo tatizo kwani ziko hata zinazoanza na 01, 86 na cyo lazima zianze na 35... kama hakuna imei at the back then u must change to new one and not repair.. hata ukitaka kuwrite cert still hakuna free cert for such models na hata ukibahatisha kuipata bac haitochukua muda mrefu kabla haijawa blacklisted again so ur better option ni kununua cert which costs arround 30$ na kuwrite hyo cert u need professional tools
professional advice
 
najua kuwa s6 haina kava linalofunguks bt always imei huwa written at the back.. imei kuanza na 99 cyo tatizo kwani ziko hata zinazoanza na 01, 86 na cyo lazima zianze na 35... kama hakuna imei at the back then u must change to new one and not repair.. hata ukitaka kuwrite cert still hakuna free cert for such models na hata ukibahatisha kuipata bac haitochukua muda mrefu kabla haijawa blacklisted again so ur better option ni kununua cert which costs arround 30$ na kuwrite hyo cert u need professional tools
Mkuu nimefanikiwa kuifanya kusoma line sema Data inasoma mwisho 3G ila haitaki 4g nikiweka mtandao unapotea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom