Kubadilisha Certificate/imei ya S6

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,651
nimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
 
nimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
kubadili imei ni kosa kisheria na hukumu yake ni miaka 10 jela au faini milioni30 au vyote kwa pamoja... just kukukumbusha tuu
 
kubadili imei ni kosa kisheria na hukumu yake ni miaka 10 jela au faini milioni30 au vyote kwa pamoja... just kukukumbusha tuu
mimi sijaulizia maswala ya sheria nahitaji namna ya kubadili
 
Shezi kabsa, TCRA wako nyuma yako pambana na hali yako tu
Mkuu mbona povu?!!kama ni kosa mtahadharishe kwa busara tu nchi hii sio kila mtu anazijua sheria as long as waliozitunga wenyewe kuna wakati wanazivunja itakuwa raia wa kawaida kutozijua!!!back to the topic,kama unajua namna ya ku-root simu fanya hivyo njia hii nayo inasaidia.kuna baadhi ya simu ukizi-root automatically IMEI inabadilika,nilishawahi kufanya hivyo ndo maana nimesema.
 
nimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
50 unayo ya fasta
 
Mkuu mbona povu?!!kama ni kosa mtahadharishe kwa busara tu nchi hii sio kila mtu anazijua sheria as long as waliozitunga wenyewe kuna wakati wanazivunja itakuwa raia wa kawaida kutozijua!!!back to the topic,kama unajua namna ya ku-root simu fanya hivyo njia hii nayo inasaidia.kuna baadhi ya simu ukizi-root automatically IMEI inabadilika,nilishawahi kufanya hivyo ndo maana nimesema.
yangu nimefanya ivo sasa imezingua ndio maana natafuta solution
 
nimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
Lakini mkubwa line kutosoma c tatizo la imei, kwa nijuavyo ni network ndio hupati
 
Ule usemi wa Ulipo Tupo siyo tu kwa Shilawadu, applicable kwa TCRA pia... tunawachora tyuuuu
 
Mkuu mbona povu?!!kama ni kosa mtahadharishe kwa busara tu nchi hii sio kila mtu anazijua sheria as long as waliozitunga wenyewe kuna wakati wanazivunja itakuwa raia wa kawaida kutozijua!!!back to the topic,kama unajua namna ya ku-root simu fanya hivyo njia hii nayo inasaidia.kuna baadhi ya simu ukizi-root automatically IMEI inabadilika,nilishawahi kufanya hivyo ndo maana nimesema.
eti cmu ukiiroot imei zinabadilika? urs is WORLD'S FIRST...
 
Lakini mkubwa line kutosoma c tatizo la imei, kwa nijuavyo ni network ndio hupati
mkuu leo nimetumia ujuzi wangu .....Nimefikiria kama Einstein Vile ila nilichoambulia ni kufungua calls na sms line inasoma ila data hakuna ... kwa juu simu inaandika Roaming Indicator
 
muanzisha huu uzi nijibu haya... hapo ilipo cmu yako ukipiga *#06# inakuletea imei zipi? na hizo imei zinazokuja hapo ni sawa na zile zilizopo nyuma ya cmu yako?... lengo ni kujua kama unahitaji imei changing or just a repair.. yawezekana ur original imei zimekuwa blacklisted au efs partition ya cmu yako ime corrupt so imei zimebadilika
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom