KUB Mbowe anapwaya bungeni?

Dah kwa majibu haya ya Waziri Mkuu hakika Mbowe yupo uchi wa mnyama
 
acheni siasa za matukio!
awamu hii ni siasa za maswala! mkiwa rigid watu hawata waelewa!
 
Mbowe na Bi Helleni wataitisha mkutano wa waandishi wa habari kusema haki za binadamu zimevunjwa....
Kwikwikwikwiiiii. Kadri wanavyopiga kelele ndipo kasi ya utumbuaji majipu inapoongezeka
 
Katiba unayoiongelea mnaivunja kila Siku kwa matamko yasiyofuata Sheria, kanuni na taratibu za nchi. Magufuli anaingilia Mamlaka ya Bunge kwa kubadili matumizi ya fedha bila kibali cha Bunge. Anawaacha kina Chenge wa Escrow, Lugumi, Kiwira, Meremeta, Kagoda, Kivuko Chakavu, Nyumba za Serikali. Halafu mnasema MNA dira.

CCM ina Kansa ya Rushwa na Ufisadi.
 
Kwakweli nikisoma majibu ya hawa wana CCM mufilisi wa humu JF nikajumlisha na hayo majibu ya hovyo aliyotoa Kassim Majaliwa nikajumlisha na michango ya Joseph Msukuma, Halima Bulembo na Juma Nkamia najiridhisha kuwa CCM ni wamoja kwenye vihoja na CCM ni ileile!
 
Kama haya ni majibu ya Majaliwa basi tuna tatizo kubwa la Uongozi katika Awamu ya 5
 
Sitaki kuamini kama haya kweli ni majibu ya waziri mkuu Kasim M
 
KWELI WW KILAZA,KATIBA INAVUNJWA UNACHEKELEA JAPO KATIBA YENYEWE MBOVU JAPO HAO MACCM WANGEIHESHIMU LAKINI WANATAMANI WAIFUTILIE MBALI.
Huyo ni kati ya kilaza ambaye huwa kila post yake huwa hatumii angalau akili ya kuzaliwa nayo, yeye kikubwa ni mkono kwenda kinywani
 
Iko kishabiki toa ilkitu yako

Bunge lenyewe la kichoyo

Fanyeni mnavyoweza
 
Sioni upanguzi wa hoja wala hoja za maana katika maelezo haya zaidi ya ujinga mwingi na upumbavu ndani yake.

Ili ionekane kapanguwa weka vifungu halisi vya katiba badala ya kuname kifungu ilhali hujakiandika.

ujinga nikazi.
Huyo simiyu yetu ni sawa na mwana futuhi tu
 
Mbowe ni msanii tu!!;maisha ya siasa ya ujanjaujanja tuu!!!;imekula kwao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…