Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

Lipo tatizo kubwa ,unampomshusha CAGG live kwa swali la kibabe ,ni dharau kubwa kwa Watanzania,nadhani hakuna uchaguzi tena ni kujipangia % kwa mtutu, hana hofu! Anatuona malofa Fulani.
 
Mkuu umesema kweli.
Mimi naongezea kidogo tu..
Mwizi ni yeye mwenyewe.
Tumeona namna serikali inavyo pambana kujibu hoja za CAG zilizoweza kuchambuliwa kwa ufasaha na mbunge wa Kigoma kaskazini ZZK! Rais wetu JPM amejingengea heshima ndani na nje ya nchi kwa vita dhidi ya rushwa na ufisadi, kauli ya jana ya rais kujaribu kujibu juu ya tuhuma za rushwa za serikali yake zimeanza kuondoa na kutia mashaka juu ya heshima aliyoijenga juu ya vita ya ufisadi,tumeona kwa muda mrefu rais akihubir elimu ya uzalendo kwa watz, je kwa yanayo endelea anaweza kuwa na moral authority ya kuendelea kukemea rushwa? Hili ni doa kwa serikali iwe kuna wizi ama la, lkn bado serikali haijaweza kuja na kauli kamilifu inayoweza kujibu maswali na shauku ya watz juu ya 1.5trillion! Siyo rais, polepole, kafulila ama naibu wazir wa fedha au yeyote aliyeweza kuja majibu timilifu kujibu hoja za CAG...
Mamlaka zinazohusikia huenda zikaja na majawabu kuliko personal attacks
 
Mkuu umesema kweli.
Mimi naongezea kidogo tu..
Mwizi ni yeye mwenyewe.
Tumeona namna serikali inavyo pambana kujibu hoja za CAG zilizoweza kuchambuliwa kwa ufasaha na mbunge wa Kigoma kaskazini ZZK! Rais wetu JPM amejingengea heshima ndani na nje ya nchi kwa vita dhidi ya rushwa na ufisadi, kauli ya jana ya rais kujaribu kujibu juu ya tuhuma za rushwa za serikali yake zimeanza kuondoa na kutia mashaka juu ya heshima aliyoijenga juu ya vita ya ufisadi,tumeona kwa muda mrefu rais akihubir elimu ya uzalendo kwa watz, je kwa yanayo endelea anaweza kuwa na moral authority ya kuendelea kukemea rushwa? Hili ni doa kwa serikali iwe kuna wizi ama la, lkn bado serikali haijaweza kuja na kauli kamilifu inayoweza kujibu maswali na shauku ya watz juu ya 1.5trillion! Siyo rais, polepole, kafulila ama naibu wazir wa fedha au yeyote aliyeweza kuja majibu timilifu kujibu hoja za CAG...
Mamlaka zinazohusikia huenda zikaja na majawabu kuliko personal attacks
 
Hahahaha Magufuli ni kiboko yani ukirusha nchale yeye ana rusha bomu kabisa ....acheki na kima...Mmezoea mpotoshe watu.wanyamaze

Safi sana JPM..
Hoja hujibiwa na vielelezo sio kuulizia vitu vya kijinga kawaida hoja za CAG huwa hazifutiki bila vielelezo kuwekwa mezani mfano mzuri kivuko kibovu mpaka leo hoja yake ipo. Fahamu fika fedha hizi lazima zirudi
 
Wa

wasikuma bahnaa mtaacha historia ya ajabu nchi hii 1.5 trillion lazima zipewe majibu sio ujinga ujinga tuuu
Mkuu kama tamko la naibu waziri kuhusiana na mchanganuo wa hizo fedha hautoshi, na kama kauli ya CAG mbele ya rais haitoshi pia, basi mtakuwa na matatizo makubwa ya akili. Itabidi mafaili yenu yatolewe pale mirembe ili mtafutiwe madaktari wa kiwango cha juu nje ya nchi.
 
Kama mnavyojua prof CAG ni muumini safi wa dini ya kiislamu ,Leo pale ikulu ameamua kutudanganya watazania zaidi ya million 50,ili/tu kumtetea mtu Mmoja sizonje..!kwa aina ya mavazi aliyokuwa amevaa ni dhahiri baada ya kikao cha pale ikulu(kuapisha) alikua anaenda kuswali swala ya ijumaa,
ninauhakika Leo Mora hakupokea maombi yako na unatakiwa kutubu dhambi ya uongo na unafiki!!
Asante!!
Mora ndio nani?
 
Kama mnavyojua prof CAG ni muumini safi wa dini ya kiislamu ,Leo pale ikulu ameamua kutudanganya watazania zaidi ya million 50,ili/tu kumtetea mtu Mmoja sizonje..!kwa aina ya mavazi aliyokuwa amevaa ni dhahiri baada ya kikao cha pale ikulu(kuapisha) alikua anaenda kuswali swala ya ijumaa,
ninauhakika Leo Mora hakupokea maombi yako na unatakiwa kutubu dhambi ya uongo na unafiki!!
Asante!!
Post [HASHTAG]#520[/HASHTAG] amekusaidia
 
Report ya CAG ilipoibua taarifa juu ya upotevu wa 1.5trillion watu wengi walizungumza sana, makundi mbali mbali ya kijamii vikiwemo vyama vya siasa, uchangiaji wa watu kwenye mitandao ya kijamii ulimfanya Rais wetu azungumzie hili kwa mara ya kwanza ikulu wakati sherehe za kuapishwa majaji walionteuliwa, ambapo rais alianza kwa kuwauliza baadhi ya watendaji wake alio wateua, mmoja wa aliyeulizwa swali ni Dotto James katibu mkuu wizara ya fedha ambaye kwa taarifa za awali inasemekana ana undugu na ukaribu na rais wetu, katika majibu yake alisema nanukuu” Mh Rais hazina tuko salama” ukijaribu kutafakari kwa kina utagundua kuwa maswali na majibu ya viongozi ilikua kuzima hoja ambazo hata watz walishaanza kuzihoji, lkn kitaaluma hoja ya CAG kuhusu upotevu wa 1.5tr haijaweza kujibiwa na yeyote, kauli ya kuwa hazina kuko salama ni kauli ya kutia mashaka na yenye maswali mengi, inaonekana katika shughuli ile ya kuapishwa majaji CAG aliliakwa makusudi na katibu mkuu hazina ili kupata platform ya kujibu hoja ambayo ilishaielemea serikali!
 
Tutazihoji hizi pesa hata baada ya miaka 20.
Wahusika hata kama wasipokuwapo mali zao zitawajibika.
Report ya CAG ilipoibua taarifa juu ya upotevu wa 1.5trillion watu wengi walizungumza sana, makundi mbali mbali ya kijamii vikiwemo vyama vya siasa, uchangiaji wa watu kwenye mitandao ya kijamii ulimfanya Rais wetu azungumzie hili kwa mara ya kwanza ikulu wakati sherehe za kuapishwa majaji walionteuliwa, ambapo rais alianza kwa kuwauliza baadhi ya watendaji wake alio wateua, mmoja wa aliyeulizwa swali ni Dotto James katibu mkuu wizara ya fedha ambaye kwa taarifa za awali inasemekana ana undugu na ukaribu na rais wetu, katika majibu yake alisema nanukuu” Mh Rais hazina tuko salama” ukijaribu kutafakari kwa kina utagundua kuwa maswali na majibu ya viongozi ilikua kuzima hoja ambazo hata watz walishaanza kuzihoji, lkn kitaaluma hoja ya CAG kuhusu upotevu wa 1.5tr haijaweza kujibiwa na yeyote, kauli ya kuwa hazina kuko salama ni kauli ya kutia mashaka na yenye maswali mengi, inaonekana katika shughuli ile ya kuapishwa majaji CAG aliliakwa makusudi na katibu mkuu hazina ili kupata platform ya kujibu hoja ambayo ilishaielemea serikali!
 
Kwa wenye uelewa wa auditing ni kwamba CAG katika ripoti yake hakuna sehemu ambayo alisema kwamba 1.5 trilioni zimeibwa.Hakuna kabisa.Yeye alichokisema ni kwamba ameshindwa kupata nyaraka za kutosha kuonesha ama zinazoendana na matumizi ya Tsh 1.5 trilion.Kazi ya audit sio kumtaja mwizi ila ni kuionesha management kuwa mahala fulani kuna kiuashiria cha matumizi mabovu ndio maana Audit ya sasa iko so risk based.Kwa maana hiyo sasa kwenye kuwaapisha majaji MNIKULU akaumuuliza CAG je kuna fedha ya serikali iliyoibwa? CAG akajibu according to IAS kwamba hakuna fedha iliyoibwa.In details ni kwamba 1.5 TRIL ilitumika ndivyo sivyo na sio kazi ya CAG ku detect theft. over

Kim John UN
dar es salaam
 
Kwa wenye uelewa wa auditing ni kwamba CAG katika ripoti yake hakuna sehemu ambayo alisema kwamba 1.5 trilioni zimeibwa.Hakuna kabisa.Yeye alichokisema ni kwamba ameshindwa kupata nyaraka za kutosha kuonesha ama zinazoendana na matumizi ya Tsh 1.5 trilion.Kazi ya audit sio kumtaja mwizi ila ni kuionesha management kuwa mahala fulani kuna kiuashiria cha matumizi mabovu ndio maana Audit ya sasa iko so risk based.Kwa maana hiyo sasa kwenye kuwaapisha majaji MNIKULU akaumuuliza CAG je kuna fedha ya serikali iliyoibwa? CAG akajibu according to IAS kwamba hakuna fedha iliyoibwa.In details ni kwamba 1.5 TRIL ilitumika ndivyo sivyo na sio kazi ya CAG ku detect theft. over

Kim John UN
dar es salaam

Mkuu inaonekana wewe ni mwepesi sana, CAG report page 34 na kwa more reference interview na azam tv, anasema kuwa kuna pesa kiasi cha 1.5 triliion ambayo hazionyeshi zimetumikaje, ilikua ni kazi ya serikali kutoa maelezo ya kina na suporting documents ili kufuta hiyo hoja! Kuna vitu 2 ambavyo lazima uelewe alichofanya CAG ni financia audit, ambapo huwa wanafanya sample audit kwa hizo findings za kutokuonekana kwa 1.5tr CAG angekua independent na majibu yasiyo jitosheleza ya serikali alipaswa kufanya kitu kinaitwa audit investigations ambapo ana audit 100perc kila kitu! Tuache tabia za kuongopea wengine, ni vizuri tukaendelea kuhoji kujua ukweli
 
Back
Top Bottom