Ahsante sana Ni kheri yako wewe mwenye mama aliye hai!! Mwenyezi Mungu Amrehemu Mama yangu aliyefariki mwaka jana August, 2017.Pumzika kwa amani Mama yangu.Hakika ni tukio sitalisahau maishani mwangu. Ungeweza kunitukana mimi ningefurahi sana
Ahsante sana mkuu mpaka sahizi sijaifuta namba ya mama yangu kwenye cmu!! ni nzuri kumtukana mtu personal kuliko kumtukania mzazi.Daaa,,pole sana mkuu imeniuma sana
Jitahd kuhudhuria english course itasaidia mkuu.mmmmmh
as you was into my brain
Hebu funguka Mkuu ni Mzee gani huyo?.Kuna lizee limeenda ukerewe juzi na kupeleka mkosi
Ni Kaa Fala hii sio jingineKuna lizee limeenda ukerewe juzi na kupeleka mkosi
Kungekuwa na kivuko kikubwa au zaidi ya kimoja kilicho sawa na uwiano wa Idadi ya wasafiri haya yangetokea?Sasa uwezo wa kivuko ni kubeba watu 100, nataarifa za awali zinadai kilikuwa kimebeba watu 400, bado kuna mtu anakuja anadai eti kuna jamaa kaacha mkosi.
MwenyekitiHebu funguka Mkuu ni Mzee gani huyo?.
Sawa mkuu Stand! Mimi nikipata hao samaki nitakula tu..kwani hiyo ni mipango ya Mungu, Mungu ndiye amepanga...
Dah...ila wapigaji na wazembe mmebanwa kweli Safari hii....mmebaki midomo tuNa hiyo mikosi imehamia kwenye familia yako milele yote walahi!
Dah...na siye walaji tutegemee Bei kushukaHivi kumbee
Dah..itakuwa mwendo wa sangara tu...asubuhi...mchana na jioniKwa kweli
Siku zote binadamu ni mtu wa kuharakia na hapo anakuwa hajali hata usalama na ndo maana kunakwepo na sheria kanuni na taratibu...hapo ndipo ujinga wa baadhi ya watu unapoonekana!! hakuna cha mkosi wala nini!! Tufikie watanzania tuviheshimu vyombo vya usafiri Mzungu anapotengeneza uwezo wa chombo ni kubeba uzito kadhaa basi lizingatiwe!! kumbuka pia Mv Bukoba ilikua wame overload, hii nayo wameoverload!! hii ni shida
Puu.zi ww....Kuna lizee limeenda ukerewe juzi na kupeleka mkosi
jamaa ni king'ang'anizi kweliUnawaombea ili iwe je? Huku tayari waliisha kufa ni sawa kuombea mti uliokauka