Badala ya kulalamika mwambieni Zitto amkumbushe Sultan kuhusu ahadi ya meli mpya ziwa Tanganyika tutatangaza,au mmeridhika na mv liemba!
ACT ni kitu gani kwani. sasa hiyo ITV ulichangia shilingi ngapi kuianzisha na kuiendesha? wewe ulizia TBC sio TV ya mtu
Sasa kama hamjawaalika watakujaje huko? Ach uzushi wewe? Mbona ya ccm wanatangaza.
Huyo mangi ajiandae kisaikolojia baba azam anakuja
Za ccm zenyewe zinapewa promo za lowasaa.
Tatizo mmiliki wa ITV anawachagulia wahariri wake habari za kuonyeshwa.
Hapo ndio mwisho wa akili zako,nini maana ya uongozi?
yale mliokuwa mnayalalamikia tbc, sasa mnayatetea huku. Bavicha watu wa ovyo kabisa.
Yale mliokuwa mnayalalamikia TBC, Sasa mnayatetea huku. Bavicha watu wa ovyo kabisa.
really?Jamaa wana wabagua sana ACT......! Huu ni ukweli na wanatakiwa wabadilike na nitawatumia email kuwauliza kwanini hawaoneshi habari za ITV??
Mlivyoenda kumfitinisha kwa Kikwete eti anahujumu serikali yake mlitegemea nini!