Zero Star
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 4,136
- 8,307
Kwahyo ukahama afu ukawa unafatilia na kusikilizia..... Basi huna tofauti na wachawiKuna Ndoa moja ilikua Rehani baada ya mm kuhamia Ile nyumba.
Mbaya ziaidi walikua na mtoto mdogo wa miezi 4.
Ikanibidi nihame tu, Japo mwishowe bado ilivunjika tu.