Kuanzia leo silali na wake za watu

Kuanzia leo silali na wake za watu

Nimeamua kubadilika rasmi sitaki tena wake za watu ingawa ni watamu sababu kuu sitaki kua chanzo cha familia kuvunjika ni dhambi sana hasa nikiangalia watoto wanaenda kuishi tofauti na wazazi wao nimeshaivunja moja nyingine inahati hati ya kuvunjika
well done,
ni uamuzi mzuri, muhimu na muafaka sana huo gentleman 🐒
 
Na wewe utaoa tu mkeo atachapwa kama unavyochapa wewe wake za watu wanawake wote ni walewale tu waliodanganywa na nyoka pale edeni.
 
Niamini Mimi, huyu mke wa mtu kama ana MAKEBO makubwa basi hutamwacha Abadan.
 
Nimeamua kubadilika rasmi sitaki tena wake za watu ingawa ni watamu sababu kuu sitaki kua chanzo cha familia kuvunjika ni dhambi sana hasa nikiangalia watoto wanaenda kuishi tofauti na wazazi wao nimeshaivunja moja nyingine inahati hati ya kuvunjika
kuna jamaa namtombea aisee mke wake anakuma tamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ila nayeye anatomba mke wa mtu
 
Tuache kuoa wake za watu.

Unakutana na binti ana sifa zote nzuri.

Unaoa.

Kumbe ana mtu wake ambaye huyo akipiga simu binti lazima akamtunuku jamaa.

Kuna jamaa ni maarufu amejichanganya kwa mtindo huu.

Ubaya ni kwamba kazi za jamaa ni za kutokaa sehemu moja binti akasema makazi ya kudumu yawe mkoa fulani hivi kwakua ni mkoa karibu na kwa wazazi wake.

Huo mkoa wa karibu na wazazi wake ndiyo kuna jamaa mwingine anaruka na binti.
 
Back
Top Bottom