Kuanzia January hadi sasa October mapenzi yamekugharimu nini?

Tutafute hela hii ni dalili nyingine ya umaskini
Aisee umaskini haupimwi kwakutapanya na kutumia pesa ovyo, labda kama ulimaanisha kutumia pesa nyingi kwenye mapenzi ndio dalili ya umaskini ila tofauti na hapo huo ni ushamba na limbukeni wa mapenzi.
 
Madaktari wanasema hivyo.
Uchafu unapita lwenye kile kitundu. Wanaume wengi wanaopata UTI ni wafukuaji mitaro.
hapana dada yangu sio kweli. UTI ni usafi tu, na mbele kunarisk kubwa ya kupata UTI kuliko nyuma maana mbele kunahitaji usafi wa hali ya juu lakini usiharibu joto au pH ya hiyo sehemu
 
hapana dada yangu sio kweli. UTI ni usafi tu, na mbele kunarisk kubwa ya kupata UTI kuliko nyuma maana mbele kunahitaji usafi wa hali ya juu lakini usiharibu joto au pH ya hiyo sehemu
Sasa mtaroni si pana uchafu? Asipojisafisha vzr atapata
 
Njoo tushirikishane uzoefu kuhusu vizinga vya wanawake wa hapa na pale. Kwa upande wangu kuanzia mwezi wa kwanza hadi sasa mwezi wa kumi vizinga tu nilivyopangua ni zaidi ya milioni 2 na bado hapo December haijafika! Hapo ndiyo inaonyesha ni kwa namna gani ukiendekeza wanawake utazidi kujitumbukiza kwenye giza tororo la umaskini!

Kesi tu za baby simu yangu imeibiwa, imeingia maji, imekufa kioo, zinafika 5 kwa wanawake tofauti tofauti. Kesi za kufiwa nyingi zaidi, kesi za kuumwa, umeme kuisha, ada ya chuo, hizi sherehe za kuzaliwa, miadi ya hovyo, pesa za lodge, likizo za kipumbavu!

Kijana wa kiume usipoamka utaumia sana, utajuta sana uzeeni! Wakuu tuendelee tu kupeana mbinu za vizinga maana huwa zipo kasi kama magoli ya Haaland!
Me sijajiusisha na mapenz kwakweli nimejipa likizo
 
Back
Top Bottom