1881Okoza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2022
- 693
- 947
Sio mchezo mimi nmeelewa umemaanisha niniBinafsi Yamenigharamia
Kutoa ni moyo si utajiri.
Sio mchezo mimi nmeelewa umemaanisha niniBinafsi Yamenigharamia
Kutoa ni moyo si utajiri.
Utelezi tu Hamna kingine ndugu yanguHahaahahaaa! Jiandae kupata utekezi tu mkuu
Kafukua mtaro? Wewe ni expert wa hizo mambo za mitaro? 😳Wewe uache kufukua mitaro. UTI sio ugonjwa wa zinaa wa kuambukiza.
Madaktari watanisahihisha.
Madaktari wanasema hivyo.Kafukua mtaro? Wewe ni expert wa hizo mambo za mitaro? 😳
Masanja hajatafuta pesa?Tutafute hela hii ni dalili nyingine ya umaskini
Ukipiga hapo Ni sh. Ngapi umewahi mtumia bi. Mkubwa,madogo utasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.iPhone X
Ada nusu (550,000)
Kodi miezi 3 (450,000)
Dressing Table (350,000)
Nauli ndege mara 2 (280,000 x2)
Mshahara/allowance kila week 50k
Emergency za kusuka vocha dinner
Naumwa nn sijui fakes kibao
Qqmmmkk sahivi am single singeli kuanzia Mwezi wa 9..
Wanawake wanawake wanawake
Haya bwana..
Bro, Bora ningeita crew tukalewe pombe.Ukipiga hapo Ni sh. Ngapi umewahi mtumia bi. Mkubwa,madogo utasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.
Umeongea Kama mzaha,lkn una point kubwa sana mzee.Mapenzi yamenigharimu Mbegu zangu zenye thamani kubwa kuliko kitu chochote kwenye hii dunia
Lkn na tundu si analichakata ipasavyo?Miezi yote nine enjoy tangu January to October nadhan Bado ntaendelea kuenjoy kijana anajua kugharamia
Hahah that's life mkuu,only men understand this.Bro, Bora ningeita crew tukalewe pombe.
DuhiPhone X
Ada nusu (550,000)
Kodi miezi 3 (450,000)
Dressing Table (350,000)
Nauli ndege mara 2 (280,000 x2)
Mshahara/allowance kila week 50k
Emergency za kusuka vocha dinner
Naumwa nn sijui fakes kibao
Qqmmmkk sahivi am single singeli kuanzia Mwezi wa 9..
Wanawake wanawake wanawake
Haya bwana..
Hapana,UTI huambukizwa kwa njia ya sexual ya kawaida tu na mtu ambaye tayr ana UTI bila kutumia kinga.Madaktari wanasema hivyo.
Uchafu unapita lwenye kile kitundu. Wanaume wengi wanaopata UTI ni wafukuaji mitaro.
Me mwenyewe zimenitoka kadhaa muda si mrefu, hamna namna ndo maisha sasa.Mwanaume kuwajibika na kuleaNimetoka kufanya muamala hapa sijui niurudishe
Hahahaaa!!! Wanaume tu je na wanawake nao inakuaje?Madaktari wanasema hivyo.
Uchafu unapita lwenye kile kitundu. Wanaume wengi wanaopata UTI ni wafukuaji mitaro.
🤣🤣🤣🤣Nimetoka kufanya muamala hapa sijui niurudishe🤦🏾♂️
Kwa wanawake ni uchafu wa vyoo, uchafu binafsi wa hiyo sehemu, kuchamba kuelekea mbele n.k.Hahahaaa!!! Wanaume tu je na wanawake nao inakuaje?