Tumekorofishana nanuniwa leo siku ya 4 na mbususu sipewi lakini visenti vyangu natoakisa? Acha hizo bwana
mwaka huu yamenigharimu sana !Dem nilnnunulia kila kitu cha ndani ,baadae akahamia sehemu nyingne bila kuniambia nikaachana nae mwingne niligharamia nauli alikuw anasoma chuo mwanza kuja songea na akaibiwa simu yake stend nikamnunulia akaja songea akawa anatoka na dereva bajaji nikamtema.
Mbona nimechelewa sasa mkuuRudisha fasta mkuu hiyo pesa bora umwagilie moyo
🤣 acha kabisa hapo ndipo ninapofeli huo moyo itabidi nipewe darasaKama umechelewa kurudisha muamala wewe ni kijana mwenye mchango mdogo sana kwenye hili taifa
Hahaha dahKuna mwanangu akishafika baa ni story za ex wake mixer waiter leta nyingne
Hahaahahaaa! Jiandae kupata utelezi tu mkuuNimetoka kufanya muamala hapa sijui niurudishe
Wewe uache kufukua mitaro. UTI sio ugonjwa wa zinaa wa kuambukiza.Nimeambulia U.T.I
10 m???Leo tu nimemtumia mchepuko 2m anataka kuanzisha pub kama ile ya ireen uwoya.
Kwa hesabu za haraka haraka 10m imeishakata na mwaka haujaisha
!Nimeambulia U.T.I