Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,638
Bro, Bora ningeita crew tukalewe pombe.
Nawe si ulipata utamu bro
Bro, Bora ningeita crew tukalewe pombe.
Akikujibu nitagMasanja hajatafuta pesa?
Ukikaa vizuri utapatikana tu yaan hivyo tuNdo wanipate wapi
Bora ningempa Bi mkubwa akalimie mahindi magagula huko. mwakan ningevunaPole sana mkuu hiyo pesa ungenunulia hata kiwanja usingejutia
Wanawake wanapata sana UTI na wao je sababu ni kuchezewa mitaro au kuna sababu zingine nje ya box?Madaktari wanasema hivyo.
Uchafu unapita lwenye kile kitundu. Wanaume wengi wanaopata UTI ni wafukuaji mitaro.
NasemajeWanawake wanawake wanawake
Haya bwana..
yaaan ukauza na kiwanja ila wapiNiliuza kiwanja cha urithi mwezi January kulipia gharama zake za matibabu. Nilimfuma na Zee la miaka kama 50 wakitoka Gest mwezi June. Trash
UTI is not sexually transmitted nakupa hio medical factDuh
Hapana,UTI huambukizwa kwa njia ya sexual ya kawaida tu na mtu ambaye tayr ana UTI bila kutumia kinga.
Hio ukisikia unaambiwa kujaribu bure ndio hio mkuu, unajaribu ila unagharamikayaaan ukauza na kiwanja ila wapi
Nipe hongeraPole kiongozi
Ulitapeliwa pole sana,uyo alikuwa anataka kianzio Cha maisha,alafu unakuta anakuta Kuna jamaa anakula tunda uko alipohamia.mwaka huu yamenigharimu sana !Dem nilnnunulia kila kitu cha ndani ,baadae akahamia sehemu nyingne bila kuniambia nikaachana nae mwingne niligharamia nauli alikuw anasoma chuo mwanza kuja songea na akaibiwa simu yake stend nikamnunulia akaja songea akawa anatoka na dereva bajaji nikamtema.
Niliuza kiwanja cha urithi mwezi January kulipia gharama zake za matibabu. Nilimfuma na Zee la miaka kama 50 wakitoka Gest mwezi June. Trash
Ushapigwa kiasi gani hadi sasa mkuu ?,ama umepigwa kama ngoma
Wewe si umeshampata mwingineiPhone X
Ada nusu (550,000)
Kodi miezi 3 (450,000)
Dressing Table (350,000)
Nauli ndege mara 2 (280,000 x2)
Mshahara/allowance kila week 50k
Emergency za kusuka vocha dinner
Naumwa nn sijui fakes kibao
Qqmmmkk sahivi am single singeli kuanzia Mwezi wa 9..
Wanawake wanawake wanawake
Haya bwana..
Sio mchezo mimi nmeelewa umemaanisha nini
Songea to mwanza nauli/83000 plus simumwaka huu yamenigharimu sana !Dem nilnnunulia kila kitu cha ndani ,baadae akahamia sehemu nyingne bila kuniambia nikaachana nae mwingne niligharamia nauli alikuw anasoma chuo mwanza kuja songea na akaibiwa simu yake stend nikamnunulia akaja songea akawa anatoka na dereva bajaji nikamtema.