Kuangalia Tamthiliya vs Michuano ya Kombe la Dunia!

Apo ni mtihani jamani, TV mbili sishauri, kama mchangiaji mmoja alivyosema huo utakuwa mwanzo wa kupoteza network (mawasiliano), kwa maana nyingine mtakuwa hamwezi kuchangia vitu.
 
dark city .......hujui kuwa waswahili wanasema 'mapenzi ni kudanganyana'?

sasa huwa hutizami kweli ile tamthilia, una hang tu pale ukumbuni maybe na kitabu chako au na gazeti lako (whatever else u want to do), bila ya kuangalia hiyo tamthilia ............mradi akuone tu uko karibu na umemuonea huruma kumkosesha kutizama tamthilia yake kwa wakati aliotaka

Ngoja nijikumbushe usemi wa mdau wangu mmoja, kuwa hapo kweli MBOMBO NGAFU!!! Unakaa tu ili kumpa kampani? My wife akianza kuangalia tamthiliya anakata network zote, yaani masiki yanziba na hawezi kusikia kitu kingine. Pia volume inakuwa karibu na mwisho. Kwa kweli naamua kumuacha tu naenda zangu kupiga story na watoto (ili walale) nisije kukwazika bure!

Apo ni mtihani jamani, TV mbili sishauri, kama mchangiaji mmoja alivyosema huo utakuwa mwanzo wa kupoteza network (mawasiliano), kwa maana nyingine mtakuwa hamwezi kuchangia vitu.

Kwani kama mtu unaangalia mpira na yeye hapendi au yeye anaangalia tamthilia amabayo huna time nayo, kuna mawasilano yoyote? Sidhani kama saa 1-2 za kuangalia hivi vitu zinaweza kukatisha mawasiliano. Tena ni afadhali hizi tamthiliya kuliko movies kwanai anaweza kuangalia hadi asubuhi na wewe unapambana na baridi kitandani peke yako! Kazi si ndogo, ila tutafika kwa sababu njia tumeshaiona!
 
Mzee wakiweka tamthilia kula kona ukaangalie kwenye viti virefu huku moja moto moja baridi ikiwa pembeni
 
Unless uwe mwanaume dhaifu ndio utaletewa ujinga huo...
Kombe la dunia ni mara moja kwa miaka minne..
Mechi ni laivu na hazirudiwi

wakati tamthilia zipo na haziishi.na marudio yapo kila siku....

Mimi hata aje mama mkwe na mama mzazi na mke na dada.....
Ni kombe la dunia tu mpaka liishe..........
 
Unless uwe mwanaume dhaifu ndio utaletewa ujinga huo...
Kombe la dunia ni mara moja kwa miaka minne..
Mechi ni laivu na hazirudiwi

wakati tamthilia zipo na haziishi.na marudio yapo kila siku....

Mimi hata aje mama mkwe na mama mzazi na mke na dada.....
Ni kombe la dunia tu mpaka liishe..........

Katika hili mimi kweli ni MWANAUME DHAIFU. Sipendi kujipendelea kupita kiasi. Starehe ya mtu haina substitute na mtu akikosa kitu anacho anakitamani anaumia sana. Kwa hiyo najaribu kujali feelings zake. Sioni kama ni vizuri kutumia nguvu kwenye vitu vinavyogusa feelings za wenzetu. Ni mtazamo wangu na ndo umenifanya nikubaliane naye tuwe na TV 2.
 
Labda hatukuelewana

kama mmeamua kuwa na tv mbili nibora zaidi
na sio udhaifu......
 
Back
Top Bottom