Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
- Thread starter
- #61
......hommie....katika umri wowote ule....nafirkiri hata over 70s KUACHWA ni sawa na kichapo tu, kuumia mna umia sawa sawa! Anaye acha ni sherehe, wakati mtosaji ni msiba!
Ila ukiangalia kati ya hawa wawili, mwenye umri mdogo vs kikongwe mwenye umri mdogo anaweza kulicover haraka zaidi kuliko mwenye umri mkubwa....! u know why? back up zenye umri mkubwa ni chache sana in case ukaachwa ukiwa mzee...na ukishuka kwa viserengeti...hakuna true love ni pressure tupu....! lakini kwa vijana.....mbuga za wanyama kibao...hufi njaa ng'oo....!
BAABAAA BABAAAA BAABAAAAA...babaa huyooooooooooo BABAAAA BABAAA huyoooo BABAAAAAA BABAAA huyoo BABAAAAAA
BAABAAA BABAAAA BAABAAAAA...babaa huyooooooooooo BABAAAA BABAAA huyoooo BABAAAAAA BABAAA huyoo BABAAAAAA
BAABAAA BABAAAA BAABAAAAA...babaa huyooooooooooo BABAAAA BABAAA huyoooo BABAAAAAA BABAAA huyoo BABAAAAAA