Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kwa umri wa 32 si mzee Fidel. Vijana hawaumii zaidi?? sababu damu inachemka sana na anajua atapata mwingine
Mi niliumia saaaaaaaaana wakati namaliza darasa la 7 tajiri mmoja alinipindua mchumba wangu tokea hapo aaah nimekuwa sugu