Unaakili sana dogoHakua na mpango na wewe, angeweza hata kukuacha kwakua unavuta pumzi wakati anaongea, au umemuita honey (yani mama yake ni nyuki sio)
Hivi inakuaje mtu alete jambo lake anahitaji ushauri wewe unamwambia hivi sio poa bhanaAisee basi njoo mi natafuta ebu tuma kapicha kako kwanza kabla huja ni pm![]()
![]()
![]()
pm ya nini? unajua sababu niliachwa?
Kweli kabisa mkuu hata mimi.x demu wangu aliniacha tu pasipo na kosa inauma sana ila maisha yanasonga now nimekuwa makini sana na hawa viumbeUkiona umeachwa ujue kuna mwingine kakuzidi kete..yani alikuwa anamiliki alteza now ameamua kuchukua Mercedes Benz,, hivyo basi, tambua kuwa watu wengine hufanya wengine kama ngazi ya kufikia katika mambo yao.!!
Pole best achana nae wewe songa mbele utampata aliye wako hus material huyo hakuwa wako bestitoalichokisema kipi mkuu hakusema kitu ndo kinachoniuma miaka na miaka