rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Habari ndiyo hiyobongo biashara![]()

Kwanini uumie jamani kama bado yuko Single sio mbaya ukirejeana nae,kama ameowa/kaolewa hapo sawa heshimu maamuzi yake...da pole
mm nilifiwa na baba last year ila nilisahau mapema bt nimeachwa na kpnz changu tangu mwez wa 12 ila mpaka sasa cjasahau roho inauma kwel ata jana kdogo nimtumie msg nkamuomba mungu mawazo yake yafutike kichwan kwngu nampenda xna
Yaliyomo yamo tunajifunza kutokana na makosa, yakishatokea yametokea kurudi nyuma haiwezekani ni kuendelea mbele tu kwa kuzingatia ulipojikwaa awali na kuangukia wapi ili yasitokee tena
Dah kweli yan....am feel to cry....
Wewe msiba unategemea wa nani.Maumivu ya mapenzi yazidi msiba.
Wewe msiba unategemea wa nani.
yan ww comment nzur ndo afae kuoa acha asee kuoa ni ktu kngne labda useme anafaa kugegeda tu ! kuish na mtu yataka moyoWw una
Unafaaa sanaa Kuolewa.
MaanaUmetoaComentNzurisanaa
Hakuna mwanamke asiefaa kugegedwa hata nayanaya wakoyan ww comment nzur ndo afae kuoa acha asee kuoa ni ktu kngne labda useme anafaa kugegeda tu ! kuish na mtu yataka moyo

People think that to be strong is to never feel pain. But in reality, the strongest people are the ones who feel it but get through it.Kuachwa kusikupe stress, haijalishi umeachwa mara ngapi, jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.
Kila anayeingia maishani mwako ana syllabus mkononi mwake, every topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako utatungwa kwenye
Topic ipi.. Usipojifunza lolote kutoka kwenye relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima.