Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Mate acha tu nilikuwa deep in love
ulimpenda kabla hata hamjaonana face to face?
ulimpendaje na hujamuona
pole sana mapenzi haya
Mate acha tu nilikuwa deep in love
Hakunaga kuachana kwa Amani kama mlikua mnapendana,,sema tu kuna circumstances zinatokea had mtu unaruhusu tu mapenzi yapite roho hainiumi na wala sina wivu sema tu ndo staki tenaTatizo nini sasa kama mliachana kwa Amani
au" wivu sina roho inauma,"?
Hakunaga kuachana kwa Amani kama mlikua mnapendana,,sema tu kuna circumstances zinatokea had mtu unaruhusu tu mapenzi yapite roho hainiumi na wala sina wivu sema tu ndo staki tena
ujue keshatafakari kwa kina na muda wa kutosha kufanya maamuzi....Ni kweli kabisa
Hahaaaa tena achika haswaUkiachwa achika
Inakuwa kero na mwenzie tabu tena ndio kila siku kuliliwa kama kaambiwa unakufaAnakuganda kama amekuzaa