Kuachana na mpenzi

Kuachana na mpenzi

Kuna kaka nilitambulishwa tu kabla ya kuonana nilipokuwa number yake kutoka kwa rafiki yake nikampigia. Kwa kweli story ziliiva nikajiona niko kwenye relationship.

Siku mpenzi wangu yule alipoomba picha nikamtumia, niliachwa siku ile ile. Nilimpenda yule kaka na effect yake nilifeli mtihani vibaya sana milishindwa kabisa kusoma na nilikuwa shule.
Hahahhh mate lakiniii kha picha tu mtu akaamua yake? Ila hilo zoezi ni gumu lisikie tu kwa jirani kuachwa ni zaidi ya kufilisika.
 
Nilivobutuliwaga mimi na yule bibie, sikuacha kumbembeleza ikafikia hatua nikawa natukanwa ka siye mimi niliyekuwa namvua chupi, ilifikia hatua sauti ya upole sana niliisikia kutoka ndani ya moyo ikisema"Inatosha sasa, kuna maisha mengine nje ya huyo mdada". Niliitii ile sauti na kuinuka nilipokuwa nimejikwaa nikapoteza fahamu kabisa. Hivi sasa nipo vizur mno!
 
Kuna mdada aliniacha,nikajaribu kumrudisha kama mara mbili tatu hivi,akagoma,nikaamua kumove on! Baada ya muda akarudi analalamika eti nilikua simpendi kwanini sikuendelea kumbembeleza!

Nikashindwa kumuelewa kabisa!

Mkuu awa viumbe ni vigumu kuwaelewa
 
Sasa hunitaki vipi? Nabaki hivyo hivyo tuu. . Sema kuachwa kunauma jamani. Kuna mkaka aliniacha alinifanya nilie na mengi maana sikuona sababu ya kuniacha ila yeye ndo walaa haelewi kabisa. Anajirudisha saa hizi mwenzie sina habari tena
Yani ntamtimua kama simjui *****
 
Sinaga hizo habari tutaongea nini sasa na kwa bahati mbaya inaweza sema sina x ambae sikumpenda au ambae bado nampenda so ma x wote ni maadui tu hata namba zao nlishag blok zoote

Tatizo nini sasa kama mliachana kwa Amani
au" wivu sina roho inauma,"?
 
Katika historia yangu ckuwah date na mtu nsompenda na walianza wao kuzingua nikaamua kuacha maana sikuweza vumilia usaliti na hivi nlikua bado sokoni nikajionea ya kazi gani kufa na tai shingoni.

Sasa nipoamua kuacha sikurudi nyuma sio mawasiliano wala nini nadhani unayajua maumivu ya kuruhusu mtu aende wakati bado unampenda sasa ndo ataki hata kuwasikia

nipe experience yako kuna demu nilimpenda sana sana mpaka mwenyewe akawa anasema tatizo nampenda sana
akaja kunitema akapunguza upendo akaanza kuleta ratiba ya kugegedwa nikagundua anani cheat nikauweka ushahidi kwake hadharani anakogegedwa na mwana nikanyoosha mikono juu tukawa tunapiga stori baadae akaninunia mazima

tatizo ni nini?
dharau alianzisha yeye kwa nini aninunie na kama mapenz ni yeye kafanya upuuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom