usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,092
Yap na baada ya mda mnarudiana tenabasi hapo mnakua hamjaachana mpo break time tu
Yap na baada ya mda mnarudiana tenabasi hapo mnakua hamjaachana mpo break time tu
Na wenyew wanasema hakunaga urafiki kwa ma x labda kama hamkupendanaKubaki rafiki ni mpaka vidonda vya moyo vipone kwangu mimi
Kabisa na la kutopendan ndo lipo sana yani nikupende kwwli alaf tuachane ndo tuwe marafiki shubamiitii,,labda sio maliyamtu mimhahaha ila kuna msemo unasema:
"Kama wapenzi wakaachana alafu wakendelea kuwa marafiki kuna mawili either bado wanependana au hata hapo mwanzo hawakupendana."
hahaha labda sio maliyamtu ww, ndio hivyo mapenzi hayanaga princplesKabisa na la kutopendan ndo lipo sana yani nikupende kwwli alaf tuachane ndo tuwe marafiki shubamiitii,,labda sio maliyamtu mim
Raha yake ni nini?Nlichojifunza tu ni kuwa nkiambiwa stak mara 3 bhas tunabak tu kuwa friend wa kawaida. Ila kuachana kwa aman
kuna raha yake aiseee.
Ni kweli ila tukishaachana ndo imetoka hiyo sina tena mda wa urafiki na xhahaha labda sio maliyamtu ww, ndio hivyo mapenzi hayanaga princples
Ha ha haa raha yakeRaha yake ni nini?
Maana mimi natafuta namna niitifue hii amani na x huu ushikaji unaweza kuturudisha nyuma badala ya kusonga mbele
Hata ikiwa ndo mpango was Mungu kuachana kusikie kwa jirani jamani unaweza vua nguo utembee uchi ili ueleweke jinsi unavyojisikia looh staki kabisa kukumbuka
asikwambie mtu unafurukuta yani mara ya mwisho niliteseka sana lakini ukipona unajiona mjinga, time is the best medicinekwanini?Ni kweli ila tukishaachana ndo imetoka hiyo sina tena mda wa urafiki na x
Sinaga hizo habari tutaongea nini sasa na kwa bahati mbaya inaweza sema sina x ambae sikumpenda au ambae bado nampenda so ma x wote ni maadui tu hata namba zao nlishag blok zootekwanini?
duuh! kwann awe adui ss?Sinaga hizo habari tutaongea nini sasa na kwa bahati mbaya inaweza sema sina x ambae sikumpenda au ambae bado nampenda so ma x wote ni maadui tu hata namba zao nlishag blok zoote
Haha hapana jamaa ni mtu poa sana, ana mazuri mengi kuliko mabaya mambo tu ya maisha yametutenga lakini sasa hata tukigombana vipi hatujawahi kuacha kuwa marafiki na mimi sinaga urafiki na ex ila huyu ndio nimeshindwa!!huyu hata nikiolewa si itakuwa tatizo kwa mume lately I have been thinking nimblok delete number yake kabisa labda lolHa ha haa raha yake
Hat sku ukibanwa na
Ngenye anakusaidia mnapasha
Kiporo
Mshkaj anakupeleka kidikteta eeeh
Any thing hapo n ww kuchanger number tuHaha hapana jamaa ni mtu poa sana, ana mazuri mengi kuliko mabaya mambo tu ya maisha yametutenga lakini sasa hata tukigombana vipi hatujawahi kuacha kuwa marafiki na mimi sinaga urafiki na ex ila huyu ndio nimeshindwa!!huyu hata nikiolewa si itakuwa tatizo kwa mume lately I have been thinking nimblok delete number yake kabisa labda lol
Yani we niache tuduuh! kwann awe adui ss?
kutokuwasiliana nae ni sawa ila kumchukia aseee