Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 126
- 250
Habari wana JF, natumaini mu wazima wa afya. Binafsi nimekuwa nikitafakari sana jambo hili, nimekuwa nikisikiliza friend zangu walioko kwenye mahusiano na wapenzi wao, wakiongea kwa kujisifu kabisa sijui akizingua namwacha. Wadada nao siku hizi hivyo hivyo, kama sijui huna hela unaachwa. Yaani jambo la kuachana achana limekuwa kama sifa flani hivii.
Najiuliza ni kwamba ni utandawazi au nini shida unayofanya watu waone huu mchezo wa kuacha sijui kuachwa ni sifa flani hivi?
Uzi nawasilisha
Nipeni mwongozo juu ya jambo hili tupeane mawazo...
Najiuliza ni kwamba ni utandawazi au nini shida unayofanya watu waone huu mchezo wa kuacha sijui kuachwa ni sifa flani hivi?
Uzi nawasilisha
Nipeni mwongozo juu ya jambo hili tupeane mawazo...