Kuacha ku-report kazini

Kuacha ku-report kazini

Nenda haraka kituoni kwako ukaripoti na uanze kazi chaap.
Fani utabadilisha baadae, ikiwa ujuzi uko nao tayari.
Watu wanatafuta hata huo ualimu wa phys na chem na hawapati. Lol
 
Hello JF family
Mimi nilihitimu Diploma ya uhandisi ujenzi(Diploma in Civil Engineering), then nikajiunga kusoma Bachelor degree in Civil Engineering bado nimebakiza mwaka mmoja kuhitimisha, Mwaka huu nikaanza kuomba kazi kama Civil Technician Ajira portal mara mbili,

Hii hii May 2025 wamenipangia kazi ambayo sikuomba(Mwalimu wa Amali somo la Painting and Sign writing) shule ya technical wakidai ni database nimejifikiria sana kutokuenda kureport kazini maana sina fani ya ualimu na ndoto zngu nibtofauti,

Kuna madhara yeyote ya mimi kuacha na kuendelea kuomba tofauti kwenye mfumo wao?
Je kuna uwezekano wa kubadilisha muundo wa kazi baada ya kua ushareport na kuingia kwenye mfumo wa ualimu?

Nimeuliza maana nimekua nkisikia maneno kwa watu wachache naowaulizq kua ntafungiwa kuomba kwa mda endapo sitaenda kazini

Na kuhama kutoka ualimu kwenda kwengine ni ngumu Sana
Ahsanteni sana.
Kaka maliza degreee kazi Utapata tu ... Yani Ukiacha kumalizia hiyo degree utakuja kukumbuka ... Usiende ... soma alafu utaomba tyu utapata
 
Civil engineering kozi nzuri.
Kamalizie huo mwaka mmoja.
Wengi wanaokushauri ukafundishe wakati huna wito hao ni wale watu wanao amini hakuna kufanikiwa ktk maisha bila kuajiriwa tena hasa na serikali.
Nakuambia utapoteza muda wako zaidi ya mwaka 1 kuweza kumalizia degree yako. Ualimu very boring kwa mtu aliye kosa wito, majungu mengi sana.
 
Civil engineering kozi nzuri.
Kamalizie huo mwaka mmoja.
Wengi wanaokushauri ukafundishe wakati huna wito hao ni wale watu wanao amini hakuna kufanikiwa ktk maisha bila kuajiriwa tena hasa na serikali.
Nakuambia utapoteza muda wako zaidi ya mwaka 1 kuweza kumalizia degree yako. Ualimu very boring kwa mtu aliye kosa wito, majungu mengi sana.
 
Civil engineering kozi nzuri.
Kamalizie huo mwaka mmoja.
Wengi wanaokushauri ukafundishe wakati huna wito hao ni wale watu wanao amini hakuna kufanikiwa ktk maisha bila kuajiriwa tena hasa na serikali.
Nakuambia utapoteza muda wako zaidi ya mwaka 1 kuweza kumalizia degree yako. Ualimu very boring kwa mtu aliye kosa wito, majungu mengi sana.
Pia atakuja kukumbuka baadae na kujuta kwanini hakumaliza hiyo degree
 
Back
Top Bottom