Agiza Express
Member
- Sep 26, 2022
- 55
- 126
Habari Wana JF natumaini muwazima
Naomba kuuliza niliajiriwa nimwenzi wa pili Sasa ila naona mambo yanaingiliana je? Kunauwezekano wakiacha kazi na baadae nikishakaa sawa nikarudi utumishi nikapambana tena kupata
Sikiliza moyo wako mwaya, huenda unayamudu maisha bila kazi yanini ujiue sababu ya kazi😌utumishi nikapambana tena kupata