makenze
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 356
- 217
habarini Ndugu zangu,kiukweli ninalitoa hili kutoka moyoni.mshahara haukutani mwisho wa mwezi japo nina degree ya ualimu wa sayansi ila hela ni ndogo.
sikufuru kuna wengi hawana kazi kwa sasa ila nawaambieni ualimu wanavyosema ni wito wanamaanisha usitegemee kupata pesa ya kufanya lolote.nimejitahidi kukusanya masalia ya mshahara ili nipate walau ela ya mtaji wa kufanya biashara yoyote ila haukusanyiki aisee.
nimewaza mengi ila kubwa nimeona kupata mtaji kwa sasa ni mtihani mzito.
nimeona ni chepuke kodogo japo nikasomee mambo ya kodi japo cheti tu kwanza.nicheki na ajira upande huo wandugu
Naomba Godfather pande hizo wakuu such as mentor and something like that.
msaada wakuu mawazo na hitaji hilo hapo juu
sikufuru kuna wengi hawana kazi kwa sasa ila nawaambieni ualimu wanavyosema ni wito wanamaanisha usitegemee kupata pesa ya kufanya lolote.nimejitahidi kukusanya masalia ya mshahara ili nipate walau ela ya mtaji wa kufanya biashara yoyote ila haukusanyiki aisee.
nimewaza mengi ila kubwa nimeona kupata mtaji kwa sasa ni mtihani mzito.
nimeona ni chepuke kodogo japo nikasomee mambo ya kodi japo cheti tu kwanza.nicheki na ajira upande huo wandugu
Naomba Godfather pande hizo wakuu such as mentor and something like that.
msaada wakuu mawazo na hitaji hilo hapo juu