Kuacha kazi ya ualimu kusomea kodi

Kuacha kazi ya ualimu kusomea kodi

Mm nmeshangaaa kidgo kwa sababu kama una degree ya ualimu it means basic salary yako n laki saba .Ikitolewa income tax ,pspf /LAPF/GEPF/NSSF , CWT CONTRIBUTION,LOAN /HESLB ,NHIF manake unabakiwa na miatano na upuuzi hivi ,sasa mkuu unataka kuacha kazi ikiwa hoja yako n mshahara mdgo it means unataka kwenda kulipwa 1.5 labda huko ,,,,sasa kwani laki tano mwl hazikutoshi wekeza kdg kdg alafu c bure kazi yenyewe umeanza miaka mitatu tu iliyopita tatizo vjana tunataka kufanikiwa harakaharaka tu komaaa hapo hapo kwanza ndg mambo yatakaa sawa tu mbelen utabadilisha fan,,ila kuna kitu nakiona hasa kwa walimu wanalialia huku mshahara oooh haitoshi tatizo cyo mshahara tatizo n kuwa walimu wengi asilimia 90 % wamekopa hovyo hovyo katika mabenki na taasisi nyingine za mikopo zenye riba kubwa ,,,,,xo mfano unakuta mwlm baada ya makato ya kawaida anabaki na laki 5 huyo wa degree anaenda kukopa ,,yaani haadi 1/3 inaisha kabsa..ndo maana mawazo kibao na hizi hadithi za kutaka kuacha kazi ,ukweli n kwamba mikopo ndio inayowaumiza hasa yenye riba kubwa mfano unakuta CRDB wana riba ya aslimia 17 ,,asasi zingine private zina riba asilimia 23 xaxa hapo unategemea nn kwa mwalimu ,,,,,,,infact mwlm wekeza kdg kdg utafika tu mwishowe utabafilisha fani
Huyu jamaa sio mwalimu HAKUNA mwalimu asiye jielewa kiasi hiki aisee
 
Nenda kakope benk pesa ndefu ujikite kwenye ujasilia Mali.

Hata ukiamua kuacha tayar utakua na mtaji na bizness imeshakomaa.

Kusoma saaaana na utegemee Kazi ya Kuajiliwa ikutoe kimaisha ni UFALA.
 
walimu wote wana biashara?
asilimia ndogo sana
walimu wengi maskini sana huo ndo ukwel
Ila Wewe una umaskini mbaya zaidi!!!
1.UNA UMASKINI WA KUTOTHUBUTU
2.UNA UMASKINI WA KUTOFIKIRI VEMA
3.UNA UMASKINI WA KUFIKIRI UTAJIRI BILA KUJIPANGA
4.UNA UMASKINI WA KUTO KURIDHIKA UNACHO KIPATA!
 
Ww jamaa umeubwa kuwa masikini tena ukiendelea na mawazo mgando yako haya hakika una safari ndefu sana ya kiukombozi wa kifikra,mwisho kabisa naweza kukwambia WW ACHA KAZI UTAONA ilivyo KAZI kuishi bila KAZI![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamaa ana akili za Ujima,

Sasa ukiwa mtumishi, afu ukabarikiwa akili za ujima.

Ni moja kwa moja,
ushakua mtumwa wa nafsi mpaka roho.

Kinachofata ni kuzikwa kwenye kaburi LA Umaskini.
 
DeepPond umeona ufala wa huyu jamaa eeh!
Anaudhi sana,

Afu mikopo yao,
riba naskia ni 17% afu hawana marejesho ya kupeleka pesa kila tar.30.

Wenzie huku mtaani tukienda Benki tunakamuliwa riba 22% na dhamana za nyumba&viwanja juu.

Ila bado tu tunakopa, tunazungusha na kupata faida na bado hatuachi kukopa.

YAAN HUWA SIONI KABISA SABABU YA WALIMU KUISHI KIMASKINI huku MTAAN.
 
Da!!!nimepitia Ka Uzi haka.kana utata.
Kuna hekima niliipata mahali ,inasema.''ukienda mji wowote Tanzania usimkute mchaga,hama haraka maana hapafai na hautopaweza''ikimaanisha those people are talented to utilise fully resources .ukisema hapafai mwingine anasema panafaa.
Ushauri wangu::tumia nafasi hiyohiyo kutengeneza mtaji haujachelewa.kinachokusumbua we we ni muda.unataka u make kwa muda mchache.
Lakini kumbuka kwa siku hizi ualimu ni ujasiriamali haswa.TUNAFANYA KAZI KWA KITAMBO TU TUKIKUSANYA MTAJI.DONT MAKE IT A LIFE BY ITSELF.
 
Hizo mambo za kumshauri afundishe twisheni,

Binafsi bado naona ni za kijinga jinga.

Bado atakua mule mule kwenye mtego ule ule wa umaskini.

Bado nasistiza,
Aache uoga, aende Benki akachukue pesa kama 10mil aingie MTAANI kazi aziingize katika mzunguko wa biashara.

Tatizo LA walimu wengi ni kukopa pesa Benki na kwenda kununulia PASSO na pikipiki za kupiga bodaboda.

Yaani huu ugonjwa sijui nani kawaambukiza.
 
Hizo mambo za kumshauri afundishe twisheni,

Binafsi bado naona ni za kijinga jinga.

Bado atakua mule mule kwenye mtego ule ule wa umaskini.

Bado nasistiza,
Aache uoga, aende Benki akachukue pesa kama 10mil aingie MTAANI kazi aziingize katika mzunguko wa biashara.

Tatizo LA walimu wengi ni kukopa pesa Benki na kwenda kununulia PASSO na pikipiki za kupiga bodaboda.

Yaani huu ugonjwa sijui nani kawaambukiza.
Mkuu Wana ugonjwa wa KUIGANA!
Mi nikitaka kupiga pesa hupeleka biashara zangu mashuleni utakuta mwalimu b KANUNUA RICE COOKER LA UMEME,TV FLAT.NA WENZAKE c,dna f WANAIGA WAKATI HAPO WAPONISHI HAPANA UMEME NA HAUTARAJIWI KUFIKA !
Inabidi tuwaambie ukweli mkuu, WALIMU dizaini ya mleta mada badilikeni
 
Anaudhi sana,

Afu mikopo yao,
riba naskia ni 17% afu hawana marejesho ya kupeleka pesa kila tar.30.

Wenzie huku mtaani tukienda Benki tunakamuliwa riba 22% na dhamana za nyumba&viwanja juu.

Ila bado tu tunakopa, tunazungusha na kupata faida na bado hatuachi kukopa.

YAAN HUWA SIONI KABISA SABABU YA WALIMU KUISHI KIMASKINI huku MTAAN.
povu la nini sasa?
kwani huyo mwanao unatoka mshipa utafikiri unamlipia kodi
 
Hizo mambo za kumshauri afundishe twisheni,

Binafsi bado naona ni za kijinga jinga.

Bado atakua mule mule kwenye mtego ule ule wa umaskini.

Bado nasistiza,
Aache uoga, aende Benki akachukue pesa kama 10mil aingie MTAANI kazi aziingize katika mzunguko wa biashara.

Tatizo LA walimu wengi ni kukopa pesa Benki na kwenda kununulia PASSO na pikipiki za kupiga bodaboda.

Yaani huu ugonjwa sijui nani kawaambukiza.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
povu la nini sasa?
kwani huyo mwanao unatoka mshipa utafikiri unamlipia kodi
Madam, Hata ungekua wewe
Una kijana wako unamshaur vitu vya akili afu bado kichwa hakifunguki.

Unamboost kidogo na Kofi moja LA maana shavuni ili Kichwa kikae SAWA[emoji23]
 
Kama ni bsc phy& math. Jiongeze katika tecnical skill au engineering UDSM kuna post graduate ktk engineering, civil, mechanics, electronics İT nk. Hizi fani wewe mwrnyewe ni ofisi tofauti na kodi lazima uajiliwe ili uishi.Kwa mfano ukisoma civil huta kosa kazi hata za chini kabisa.Jambo lingine ni ufundi wa kawaida. Jifunze kufanya repair and mantainance ya vitu vifuatavyo
1.Smart phone (Hardware and software )
2.Computer maintainance (Hardware and soft ware) baadhi ya mambo umeishayasoma ktk digital & analogue circuits.Hapa unahitaji practical tu.
3.Office machinery ie.photocopy, printer nk
4.Fridge
5.car electrification( kumbuka magari yanaongezeka kila kukicha tena sminapesa
) ambayo hayahitaji wababsishaji!
6.Air condition hii principle ipo sawa na fridge na baadhi ya mambo umeisha yasoma kwenye thermodynamics
7 .Home decoration.Hii fani sijui inapotolewa ila kuna jamaa zangu(La 7) Walikuw wakifanya sijui hata walikojifunza ila inapesa

Kuwa multipurpose .
Kuwa focused.
İvue degree na ujivae wew mwenyewe.
Shirikiana na watu wa maeneo ulipo, watakufungua zaidi.
Mwisho soma kidogo kuhusu ujasiliamali bsc huwa hwafundishwi hiyo kozi na ndio maana huelewi kuwa degree ya bsc ni tofauti na nyingine .
Ushauri bora kabisa. Anaweza akawa mwalimu nabado akafanyavitu hivyo.

Nimependa sana hapa .............Kuwa multipurpose .ie kuwa kiraka
 
Hakuna ajira ya serikali ambayo mshahara hukutana,Hapo usische kazi jiongeze kitaaa.Nipm nikupe michapo tunafanyaje kumake life kitaa huku ukiwa mtumishi wa umma!
Funguka apa kwa faida ya wengi
 
Back
Top Bottom