habari zenu ndugu zangu wanajamvi, naomba kufahamu madhara yanayo sababishwa na ku-format mashine mara kwa mara. Natanguliza shukrani
kwa kifupi unapo format mashine ndio unapunguza uhai wa hard disk unapo format sana mara kwa mara hard disk inasababisha mashine kuwa slow kila hard disk inapochoka na mashine inazidi kuwa slow ndio unapo ona ukiwasha mashine hard disk inakoroma na inachukuwa muda mrefu kuwaka na kufungua page sio vizuri ku format mara kwa mara ni bora ku delete partition mara kwa mara kuliko kuformat partition mara kwa mara
km nikidelete partition data naweza kuokoa data au nazo zinaweza futikakwa kifupi unapo format mashine ndio unapunguza uhai wa hard disk unapo format sana mara kwa mara hard disk inasababisha mashine kuwa slow kila hard disk inapochoka na mashine inazidi kuwa slow ndio unapo ona ukiwasha mashine hard disk inakoroma na inachukuwa muda mrefu kuwaka na kufungua page sio vizuri ku format mara kwa mara ni bora ku delete partition mara kwa mara kuliko kuformat partition mara kwa mara
Ahsante! Nahitaji kuinstall window nyingine. Je, naweza kuinstall bila kuformat mashine?
km nikidelete partition data naweza kuokoa data au nazo zinaweza futika
ukiwa unahitaji ku install window nyengine unaweza uka install kwa ku delete partition tu kwani unapo delete partion C: all data in C: drive will be deleted kwahiyo hakuna kitakacho baki humo ndani na dio mana ukitaka ku delete inakupa warning kwamba all data in drive C: will be deleted ndio mana baada ya ku delete kama drive C: ina space ya 100 GB itakuonyesha kama free space ni 100GB na used space 0GB kwahiyo we unaendelea na next tu ili uweze kuweka windows nyengine chakuzingatia ni kwamba maranyingi fist time unapoweka windows yako make partion drive C: and drive D: na na unatakiwa uziformat zote hasa Drive D: mana usipo iformat haita onekana ktk mashine yako mana window haita itambua na baada ya hapo unapotumia computer yako hakikisha file zako zote unazihifadhi ktk drive D: mana hujui ni lini windows inaweza ika corapt ikakupa tabu ya kuanza kufikiria data zako lakini ukiwa data zako unahifadhi ktk drive D: inakupa wepesi kubadilisha windows kwa ku delete partion ya drive C: tu bila ya kugusa drive D: na unapo delete Drive C: drive D hai athiriki na chochote mpaka utakapo ifata na kui delete baada ya kudelete C: data zote kwenye C: zitakuwa Deleted kwahiyo we unaendelea kuweka windows nyengine tu kwenye C: drive na files zako zitakuwa salama kwenye D: drive kwa njia hiyo hard disk yako haita choka haraka na hutapata usumbufu wowote windows itakapokua imeleta matatizo
processor inachoka 2 fast na kusababisha connecton wire kati yake na hard disc kuwa inagain heat kwa haraka xo hard disc inaweza kupungua byte zake, itakua slow sana na kibaya zaidi wakat unaiwasha inaunguluma sana na it takes long time 2 display bcz processor imechoka, sio vizuri kuformat window mara kwa mara.
cku nyingine nitakupa elimu how connection ya processor na hard disk vinavyoleta matatizo thru kufomart, i hop umenielewa!