Ku date na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana

kilamba lamba

JF-Expert Member
May 27, 2020
367
679
Habarini wanajamvi.... Natumai wazima wa afya.

Nimeamua niwafikishie ujumbe kwamba kudate na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana.
Kila wakati anajishtukia tu na kukupa vizuri ujinafasi..

Atakaebisha abishé....
 
Habarini wanajamvi.... Natumai wazima wa afya.

Nimeamua niwafikishie ujumbe kwamba kudate na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana.
Kila wakati anajishtukia tu na kukupa vizuri ujinafasi..

Atakaebisha abishé....
Nyoka ni nyoka.. kamwe hatageuka kuwa njiwa. Manake huyo aliyeku-cheat mara moja, ataendelea kuku-cheat. Ww sema ni raha sana tu, cha muhimu chukua tahadhari na omba sana Mungu akukinge na maradhi ya zinaa yaliyopamba moto kila mahali ikiwa ni pamoja na VVU
 
Nyoka ni nyoka.. kamwe hatageuka kuwa njiwa. Manake huyo aliyeku-cheat mara moja, ataendelea kuku-cheat. Ww sema ni raha sana tu, cha muhimu chukua tahadhari na omba sana Mungu akukinge na maradhi ya zinaa yaliyopamba moto kila mahali ikiwa ni pamoja na VVU
Cha muhimu si humpendi tu
 
Ukiona nacheat then nabaki jua nakupenda....wengine hucheat ili wafumaniwe waachwe.Afu kunakipindi mtakubali kuwa nasi tunachoka na uji wa aina moja,(time will tell)
 
Aiseeee sema una moyo tu wa uvumilivu me binafsi mtu akincheat nikajua hisia huwa zinakata so siwez kuwa na mzuka kama before kumbe kwenu wanaume huwa mzuka unazidi
 
Aiseeee sema una moyo tu wa uvumilivu me binafsi mtu akincheat nikajua hisia huwa zinakata so siwez kuwa na mzuka kama before kumbe kwenu wanaume huwa mzuka unazidi
Unajua hiyo chakula yenu ina ladha tofauti tofauti,unaweza m cheat mtu lakini akikumbuka ladha yako mzuka unampanda ghafla.
 
Back
Top Bottom