Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,055
- 74,465
- Thread starter
- #81
Ushamaliza kuongea?!Akili zako kama za T.I.D badala ya kufurahi unashusha matusi.
Niyeye2020
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Ushamaliza kuongea?!Akili zako kama za T.I.D badala ya kufurahi unashusha matusi.
Niyeye2020
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha jf raha sana. Sihami ng'o!Mambo ya kuchekesha
Hizo emoji NI zako? Unahati miliki ya hizo emoji?
Eti style yako? Kichwa kinaacha kufikiria Mambo ya maana unapoteza muda ikulalamika mpangilio wa emoji?
Duuh
Usihame aiseee hahaha
Kwahiyo umetuambia ili iweje sasa?Hakuna cha kushauri!! Sahv usiku kalale ili kesho asubuhi ukiamka uangalie mipango yako ya maendeleo.
Afu humu Kidukulilo ni tajiri lakini kule Twitter ni maskini na fukaraJamaa kafanya plagiarism ya Hali ya juu
Watu walishatoka huku mkuu. Siku hizi kuna uchumi wa maarifa. Watu wanatajirika kwa mitandao. So, jamaa yupo sahihi kulalamika. Usione wengi hatujui kutumia mitandao kwa faida. Unatengeneza jina na followers, akili kichwani kwako utumie vipi fursa hiyo. Mambo ya kulima viazi ekari mia unawaachia wasukuma. Sasa hivi ni uchumi wa maarifa, knowledge economy.Don Juan,
Mkuu Fanya kazi wewee. Hii nchi imesheheni mapori makubwa yaliyozagaa yapo tu kibwerebwerere.
Mkuu kinachoniuma ni kitu kidogo sana.
ni huu mpangilio wa hivi vi emoji tu! Kuna kitu huwa namaanisha kutokana na huu mpangilio wa hivi viemoji, sasa inapotokea mtu kuiga bila kujua maana au nilichomaanisha huwa nakwazika sana.
Labda Mkuu utuambie huu mpangilio una maana gani tujue hata tusije tuka copy vitu vya ajabu ajabu.Angalia hii " "
Maandishi kila mtu anaweza kuchukua ya mwingine, tatizo ni mpangilio wa hizo emoji, then angalia kwenye post na fuatilia hata post zangu za nyuma uone ninavyopangilia hizo emoji.
Mimi mwenyewe nipo tanesco!Kwanini uwatukane tanesco???
Hio kesi hata ukipeleka polisi watakushika wewe hapo coz umetutukana tanesco...potezea tu yaishe.
Siku nyingine weka copyright otherwise huu ni mtandao tutaendelea kucopy na kupaste kama kawa
Kwa mpangilio kama niliotumia mimi?? Hebu angalia huo mpangilio tena kisha urudi na jibu.Hata wewe uli-copy kwa jamaa anaitwa yetroo@br , huyu jamaa ndo wakwanza kutumia hizo emoji mwaka 2016. Hapa duniani hakuna jipya mkuu , ila ukianza kuona kitu au kukitumia ujue kunawaliotengeneza wakatumia kwanza wakaona inafaa . kulalamikia emoji mwanamme ni ushamba.
Mkuu nifahamishe namna ya kuweka CopyrightKwanini uwatukane tanesco???
Hio kesi hata ukipeleka polisi watakushika wewe hapo coz umetutukana tanesco...potezea tu yaishe.
Siku nyingine weka copyright otherwise huu ni mtandao tutaendelea kucopy na kupaste kama kawa