Vilaza wengi tu wanabeba huku vitu vizima vizima na kuhamisha, bila aibu wanajifanya wao ndio wametoa hayo mawazo wanakera sana aiseeBora wewe aisee mimi nilikuta mada nzima wameihamishia kwenye blog. Hafu kuna mtu kaiona huko kaipenda akaleta tena huku jf..
Ni sawa kunakili kitu cha mtu ila kuomba ridhaa kwa muhusika ni vizuri zaidi.
Watu wanadhani hua tunaamka tunaandika tu ila tunaingia gharama sana hadi kitu kupostiwa hapa jf. Mfano mada hii ilinichukua 17,000/=Tsh na muda wangu wa kutosha maana nilitumia masaa 5 kuandika.
Why? Sina kifaa cha kuandikia so kila nikitaka kuandika lazima niende Cafe.
Huko ni gharama zatumiaka then mtu anakopi so easily bila taarifa. Sio Uungwana na Utu kabisa
Ikumbukwe pamoja nakutumia ghalama hizo ila siingizi hata senti 1 kutokana na kuandika
View attachment 1564640
Hana shida yule hata mimi babu alinikabidhi juziBro! Usimjaribu yule!!
Si umeweka hapa publicKwani ulishikishwa kufungua kwa lazima?
That some inspiration indeed. Strutting naked in the dark.Be proud. You inspire the guy.
Duh usicomplicate maisha sana, usijekufa kabla ya siku zako sababu ya mambo madogo, sawa akicopy hivo na kupaste nini kinapungua kwako?au dushe lako linaondoka?
Hongera kwa kumiliki id mbili mkuu...Siamini macho yangu, wewe ndio wa kuniongelea haya!! Hebu andika tena nipate uhakika isijekuwa account yako walii hack!
Wewe mwenyewe emoji umezikopi, hujazitengeneza wewe...!!! AhahahahahaaMkuu kinachoniuma ni kitu kidogo sana.
ni huu mpangilio wa hivi vi emoji tu! Kuna kitu huwa namaanisha kutokana na huu mpangilio wa hivi viemoji, sasa inapotokea mtu kuiga bila kujua maana au nilichomaanisha huwa nakwazika sana.