Ku-copy na ku-paste style za member wa JF

Kuna member mmoja kwenye twitter anajiita Kidukulilo leo nimeshuhudia kwa macho yangu amecopy na kupaste style yangu, najua sisi kama member wa hapa JF pia tuna account katika mitandao mbali mbali lakini kwanini?

1. Uchukue mambo ya JF uyapeleke Twitter?
2. Kwanini ucopy na kupaste hadi style ya mwenzio?

Kwa kweli alichokifanya huyu member anaejiita Kidukulilo huko kwenye twitter sijapendezwa nacho hata kidogo. Hatukatai kuigana kupo lakini sio mpaka style ya mwenzio.



Kwenye kila post nikionyesha kufurahi lazima utakuta hizo emoji kama zilivyo zikiwa zimefuatana katika style hiyo ya 3x3 na naitumia kwa muda mrefu sana, kwanini mtu acopy hadi style ya member mwenziwe?

Ushahidi upo chini kwenye picha.

View attachment 1564618
View attachment 1564619
Mwache aendelee ku copy na ku paste.
Ndiyo raha yake !
Siyo original thinker huyo.
 
Back
Top Bottom