Davooo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 505
- 772
Tafuta kazi nyingine mkuu,ualimu sio wito wako,hata hivyo hakuna marupurupu,mwanafunz akivunja dawat unalipa wewe,mshahara Mdogo,nyumba za walimu hakuna,suala la umeme na maji sahau kabisa kwakuwa utapelekwa sitimbi,mwanafunz akifeli lawama kwako,Natamani kuomba chuo mwaka huu sijui nifanyeje tu naomba mwenye kijua hyo NTA level 4 anieleze yaan hpo mi siel kitu
Hahaha ualimu noma aiseee