Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

D.I.G

Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
61
Reaction score
2
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!
 
bwana shamba inalipa zaidi. Maana mtoto wa mkulima kasisitiza kilimo kwanza.
 
Jifunze kuongea kwa jazba tu na kuwa mbishi uombe uongoz CDM uje ututee wanyonge,pesa za M4C zitakutajirisha.
 
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!

Una elimu kiasi gani tukusaidiea? Naona hapa mzaha mwingi!
 
Ukiweza,soma economics,accounting or finance.ajira zake ziko nyingi.
 
Medicine or computer science with telecomunication engenearing!!!😱😎😎😎
 
hamna kozi inayolipa,soma yeyote cha msingi uwe jembe itakulipa wapo waliosoma bcom ni maskin tu,wapo ni walimu wametoka kwa kuanzisha mageto ya tuition unamkumbuka mkandawili-jembe,kila sector inalipa inategemea na ukakamavu na competence yako
 
njoo usome medicine-muhas ukifika 3rd year anzisha mgomo (automatically utafukuzwa) uende chadema ukale ruzuku
 
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!

kama kweli unataka wadau tukusaidie lazima ujieleze vya kutosha . Mfano wewe unaelimu gani kwa sasa, umesoma masomo gani, umefaulu masomo gani?. Kwa kuelewa hayo tutaweza kukushauri mengi kwa kuzingatia ushindani wa kozi mbalimbali katika mchakato wa kudahili, uwezekano wa kupata ajira au hata kujiajii n.k.Thanks
 
Back
Top Bottom