Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

Unataka kusoma mwakani au. Maana wenzio wanaotaka kusoma mwaka huu wamesha apply vyuo na wamesha jua wanaenda kusoma nini na ni wapi na muda ndo umeshaisha. Your not serious.
 
hiyo coz ya uruban hapa kwetu ipo?na nichuo gan? nahzo cold speclst vp? chuo gan hapa kwetu...!!!
 
hiyo coz ya uruban hapa kwetu ipo?na nichuo gan? nahzo cold speclst vp? chuo gan hapa kwetu...!!!
 
soma masomo yatakayokufikisha kwenye urubani au u-daktari au nishati ya nuklia au u-engineer wa meli, pia kuna taaluma zilizojificha kama taaluma ya kuwa mtaalamu wa baridi cold specialist wengi walio kwenye hii fani ni wajapani. unaweza kutafuta cold specialist katika bara zima la Africa ukakosa hata mmoja na kazi zake zipo kibao ila zimejificha sana huwezi kuzigundua

Asante
 
Unataka kusoma mwakani au. Maana wenzio wanaotaka kusoma mwaka huu wamesha apply vyuo na wamesha jua wanaenda kusoma nini na ni wapi na muda ndo umeshaisha. Your not serious.

Mwakani!
 
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!

Kozi ya ujasiriamali ndo iko poa kwa sasa. Huna haja ya kulipia ada. Unaanza mwenyewe kujifunza
 
Mi naona hauko serious, unataka kusoma from nowhere!! Ungesema uko na sifa gani, lakini all in all kusomea ualimu usiende, nyingine zote soma hasa moja ambayo huenda mtakuwa wachache Tz inaitwa Bachelors of ACTURIAL science sijajua km tz kuna chuo au lah ila kenya ipo. Kila la kheri[/QUOTE/]
UDSM wanatoa hyo course
 
Mi naona hauko serious, unataka kusoma from nowhere!! Ungesema uko na sifa gani, lakini all in all kusomea ualimu usiende, nyingine zote soma hasa moja ambayo huenda mtakuwa wachache Tz inaitwa Bachelors of ACTURIAL science sijajua km tz kuna chuo au lah ila kenya ipo. Kila la kheri[/QUOTE/]
UDSM wanatoa hyo course

Thanx mkuu
 
Daaa!! Dogo km comb yako ni PCM kasome Petroleum &Minerals Engineer yaani hii fani inalipa sana sasaivi kuna watu wanalipwa hadi Usd 20,000, changamka ukasome hii fani utakuja ona matunda yake mwenyewe.

Kaka umenena yaan hyo petroleum engineering ata kwenye rank ya kidunia ndo course inayoongoza kwa kulipwa vizur for example mamtoni ni kam USD 78,000 .
NB: nlikuwa nachek marketabe courses in the world ndo nkaipat hyo
 
Somea ubongo wa fleva..ukijua tu kusema tu nakupenda basi utapata fursa ya kuwa punda wa madawa then mda mfupi ina pesa kibao.

Hahahaha ...Ukijua kusem "beibiiiiiiiiiii u noooooo i love u" ushatoka maisha utatuacha na vibaasha vyetu mitaan
 
hiyo coz ya uruban hapa kwetu ipo?na nichuo gan? nahzo cold speclst vp? chuo gan hapa kwetu...!!!

actualy zipo nyingi na siku hizi kama hzo za urubani zina exist kwa sana kila mkoa. Xmple Sumbawanga University, Gamboshi University, etc.

Na kuhusu za cold specialist, kuna Mafinga University, Makete University, Moshi university, etc,
 
Kozi zote ni nzuri ila inategemea wewe umekuwa na kipaumbele gani tangu uko shule ya msingi, secondary na kote ulikopita. Think beyond the box.
 
Bachelor of Actuarial Science kwa wewe ni kozi njema kwa miaka ya leo na takwimu zinaonesha ajira yake itaongezeka kwa 17% kuelekea 2020. University of Dar es Salaam wameianzisha kwa Undergraduate pale Idara ya Hesabu. Usisite kusomea hii kozi kijana. It is amongst the most three paying jobs in the world kwa kazi za kuajiriwa.
 
Nenda kasomee uchungaji/unabii na kufanya miujiza kwa sasa fani hizi hazina mpinzani kabisaaaaa
 
actualy zipo nyingi na siku hizi kama hzo za urubani zina exist kwa sana kila mkoa. Xmple Sumbawanga University, Gamboshi University, etc.

Na kuhusu za cold specialist, kuna Mafinga University, Makete University, Moshi university, etc,

Mdau unazingua
 
kuna mshikaji wangu mmoja Mwarabu ana Mastaers ya petroleum anafanyakazi kampuni moja inaitwa Saudi Aramco ya uchimbaji wa mafuta, analipwa SR 70,000 sasa hii zidisha na pesa yetu ya madafu yaani 70,000x 420 =29,400,000/= kwa mwezi

Bila shaka huyu ndie yule aliyekuwa anamwaga Mafedha DSM wiki hii chini ya uangalizi waPolisi.
 
Back
Top Bottom