serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,354
- 4,762
Hii inapatikana chuo gani?
jimboni mkuu....... uki pass ni one way ticket bungeni
Hii inapatikana chuo gani?
jimboni mkuu....... uki pass ni one way ticket bungeni
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!
kama kweli unataka wadau tukusaidie lazima ujieleze vya kutosha . Mfano wewe unaelimu gani kwa sasa, umesoma masomo gani, umefaulu masomo gani?. Kwa kuelewa hayo tutaweza kukushauri mengi kwa kuzingatia ushindani wa kozi mbalimbali katika mchakato wa kudahili, uwezekano wa kupata ajira au hata kujiajii n.k.Thanks
Somea BA ya Kiswahili
soma masuala ya entrepreneurship ukawe mjasiriamali ajira zote za kulipwa mishahara humpumbaza mtu jifunze kuajiri badala ya kuajiriwa
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!
Wewe PCM automatically engineer though sio lazima.. Kaachini, fikiri kitu gani unakipenda na Unakiweza ukisoma utakeenjoy.. Then piga Shule.. Usiwaze ajira saivi, ajira weka kama second option, waweza kuja pata Ideas nzuri baada ya kufika chuo ushangaa unaanzisha project zako na kuwa unajitegemea.. So Focus on your passion na sio hii emotion world yetu ya Kitanzania.. Itakuponza kama maengineer waliosota miaka Mi4 chuo alafu anakuja fanya Masterz ya Biashara anakua Mhasibu.. Why hakuenda Accounts tu mapema??? Just Focus
Kila kozi inalipa, inategemea na mazingira na channel utakayokuwepo kipindi umemaliza!!so soma kozi unayoipenda ili ikupe urahisi kujifunza,,Interest ni muhimu katika kusoma, maana unaweza kusoma kitu chochote lakini ukamaliza ukamaliza ukiwa Empty hii ni kwasababu ulichokisoma haukua na Interest nacho ivyo kukosa hamu ya kukifatilia kwa karibu na badala yake ulikua ukikariri na kujibu mitihani tu.
All the Best.
Thanx mdau, ni kwamba elimu yangu ni ya kidato cha 6, mchepuo PCM, na nilipata 'DDD', nahitaji kusoma hapahapa nchini.
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!
Waau naomba mnisaidie nataka kusoma lkn sijui nisome kozi gani ambayo inalipa kwa sasa, msaada tafadhali!