Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

kwel usd 20000 huuu utan kama kwel ntaanza na dploma yake unaweza niambia wanalipwa ngap?
 
Somea ubongo wa fleva..ukijua tu kusema tu nakupenda basi utapata fursa ya kuwa punda wa madawa then mda mfupi ina pesa kibao.
 
kwel usd 20000 huuu utan kama kwel ntaanza na dploma yake unaweza niambia wanalipwa ngap?
kuna mshikaji wangu mmoja Mwarabu ana Mastaers ya petroleum anafanyakazi kampuni moja inaitwa Saudi Aramco ya uchimbaji wa mafuta, analipwa SR 70,000 sasa hii zidisha na pesa yetu ya madafu yaani 70,000x 420 =29,400,000/= kwa mwezi
 
kuna mshikaji wangu mmoja Mwarabu ana Mastaers ya petroleum anafanyakazi kampuni moja inaitwa Saudi Aramco ya uchimbaji wa mafuta, analipwa SR 70,000 sasa hii zidisha na pesa yetu ya madafu yaani 70,000x 420 =29,400,000/= kwa mwezi

Duu sio mchezo...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Enzi zetu tulikuwa tunasoma ili tutimize ndoto zetu mfano: Lazima nisome sayansi ili niwe Dr pale Muhimbili, au mhandisi wa barabara n.k lakini kizazi cha digital ni the other way round!! Yaani kazi inayolipa kwanza irrespective of masomo aliyosoma, pass marks, kuipenda kazi yenyewe/ was it your dream?? will it make you happy doing it? Majuzi nilikutana na kijana mmoja amemaliza BSc Forestry ananiambia anataka kusoma tena Wildlife Management eti kaambiwa inalipa kuliko Forestry, can you imagine?
 
Daaa!! Dogo km comb yako ni PCM kasome Petroleum &Minerals Engineer yaani hii fani inalipa sana sasaivi kuna watu wanalipwa hadi Usd 20,000, changamka ukasome hii fani utakuja ona matunda yake mwenyewe.

Hiyo kozi inafundishwa wapi mkuu?
 
Enzi zetu tulikuwa tunasoma ili tutimize ndoto zetu mfano: Lazima nisome sayansi ili niwe Dr pale Muhimbili, au mhandisi wa barabara n.k lakini kizazi cha digital ni the other way round!! Yaani kazi inayolipa kwanza irrespective of masomo aliyosoma, pass marks, kuipenda kazi yenyewe/ was it your dream?? will it make you happy doing it? Majuzi nilikutana na kijana mmoja amemaliza BSc Forestry ananiambia anataka kusoma tena Wildlife Management eti kaambiwa inalipa kuliko Forestry, can you imagine?

....ni kweli, lkn mambo hubadilika mkuu!
 
Soma Environmental Disaster Management. Ulaji wa kutosha, safari za nje ndo uchicheme.
 
soma masomo yatakayokufikisha kwenye urubani au u-daktari au nishati ya nuklia au u-engineer wa meli, pia kuna taaluma zilizojificha kama taaluma ya kuwa mtaalamu wa baridi cold specialist wengi walio kwenye hii fani ni wajapani. unaweza kutafuta cold specialist katika bara zima la Africa ukakosa hata mmoja na kazi zake zipo kibao ila zimejificha sana huwezi kuzigundua
 
Back
Top Bottom