libra
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 301
- 121
Kwani ugaidi maana yake nini mkuu.
Is the use of violence and threats to intimidate or coerce,especially for political purposes.
Kwani ugaidi maana yake nini mkuu.
We endelea kuwadharau, iko siku utaitamani namba yao ya simu na hutaijua wala kuipata.
Kula thread najuona!! Ila sorry.
intelejensia iko wapi?
akili za madenge
Huwa nahuruma.
ila polis acheni uonevu mfano mapolis Wa tigo huko Mpanda katavi wana onea watu kweri.kazi zao kubwa nikufukuzana na bodaboda nahili swala sjui kwanini serikari hawa jifunzi maana ishu ya polisi kufukuzana na bodaboda zsha UA laia kbao.wao hawana huruma some time wanapo kufukuzia wakikukaribia wanaanza kuku vuta ukiwa kwenye mwendo sjui mkuu Wa polis katavi kama analitambua hili.ukismama wata kukagua mpaka koti Lina kilo ngapi?
We endelea kuwadharau, iko siku utaitamani namba yao ya simu na hutaijua wala kuipata.
uhalifu ukifanywa na muislam ni ugaidi,ila ukifanywa na mtu wa dini nyingine ni ujambazi
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar Es Salaam, amesema kuwa wale walioua askari katika tukio la jana kama sio majambazi basi ana uhakika ni magaidi! Hivyo msako mkali unaendelea sasa.
Katika hatua nyingine askari aliyejeruhiwa anaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu katika hospitali ya Temeke.
Source: ITV habari ya saa mbili